Weightloss Journey

Weightloss Journey

Inawezekana
Lakini mie nakula kila kitu,japo sili kila muda.... lakini sijawahi kufikia ukibonge wala kitambi

Labda inawezekana huko mbeleni na mie nikaja kujishangaa
Wengine wakitoka kwa Dr. Kamugisha pale muhimbili ukapatq vitu vya malezi ndani ya 90days utabadirika
 
Leo nitaongelea hii ya 23/1 ambayo inaitwa One Meal A Day. Hii inahusu kula ndani ya lisaa limoja na kuacha kula ndani ya masaa 23. Hivyo kwa siku moja unakula mara moja. Ni njia mojawapo nzuri sana ya kupunguza uzito uliokithiri lakini pia ina faida nyingi ikiwemo clear mind, improving attitude, raising self esteem na kadhalika.


Kwa taarifa yako kutokana na hali ngumu za kimaisha Watz wengi huwa wanakula mlo mmoja kwa siku (23/1)----- kimsingi unataka kuongelea kitu cha kawaida kwa Watz ambao tayari walishakuwepo kwenye One meal a day workout kitambo,

Geuze mada na iwe kinyume chake, Watz wengi tutakushukuru.
 
Hello rafiki. Uzito uliokithiri umekua challenge katika kizazi chetu cha leo. Kumekuwa na njia mbalimbali za kupunguza uzito zingine kwa fad diets na zingine za long term plans.

Mojawapo ya njia mashuhuri ambayo imetamba hivi karibuni inaitwa intermittent fasting (IF), ambayo ni kula na kuacha kula kwa masaa kadhaa. IF ziko za aina nyingi ila ntazitaja baadhi.

Kuna moja ya 16/8 ambayo mtu unatakiwa kula ndani ya masaa nane na kuacha kula ndani ya masaa 16 kwa siku. Chakula hicho kinatakiwa kiwe cha afya tafadhali. Pia ni muhimu kuzingatia wingi wa chakula au portion.
Kuna nyingine ya 18/6, 20/4, na 23/1 zote hizo ni kula na kuacha kula kwa masaa yaliyo mengi zaidi.

Leo nitaongelea hii ya 23/1 ambayo inaitwa One Meal A Day. Hii inahusu kula ndani ya lisaa limoja na kuacha kula ndani ya masaa 23. Hivyo kwa siku moja unakula mara moja. Ni njia mojawapo nzuri sana ya kupunguza uzito uliokithiri lakini pia ina faida nyingi ikiwemo clear mind, improving attitude, raising self esteem na kadhalika.

Yeyote atakaependa kujiunga hapa ili tuifanye pamoja lengo likiwa kuitengeneza miili yetu kwa faida zetu na wanaotutegemea. Tutakuwa tunaupdate wapi tumefika kila baada ya mwezi mmoja ili kuinspire wengine. Kwa maoni na ushauri mnakaribishwa tuelezane.

Come one come all. Welcome

29 june: 108kgz
31 july: 103.5kgz


A Weight loss or weight reduction journey ??!
 
Laiti tungekua tunajua kupunuza mwili ilivyo kazi tungepambana sana kujitunza tusinenepe kupitiliza
Nilikua 55 nkafika 100 sasa nimetoka 100 hadi 65 💪

Bila kutumia madawa au hizo wanazoita suppliments
Uliwezaje maana miye nimeacha mambo ya chai asbh, na pepsi napambana hapa
 
Physical exercise ndiyo zimenisaidia. 1,000 steps zilinifanya nianze kutembea. Kutembea ni sawa na kuendesha baiskeli mafuta yanapungua taratibu. Hata mwendo wa dakika 30 kila siku baada ya miezi sita utaona matokeo.
 
Achana na sukari, soda, bia na ugali, wali, chips utaona majibu
Sinywi bia kbs,soda nimeacha, chips pia nimetupa kule. Ugali siyo mpenzi hapo wali ndiyo nitafute chocho la kukatiza.
 
Back
Top Bottom