Weka caption kwenye picha hii kutoka Monduli

..."utusamehe muheshimiwa.Walisema watachinja ng'ombe mia na zaidi lakini nyama lainilaini zote wanakula malaiguanani.Ninyi tunaomba mle makongoro na supu ya vichwa"...!
 
Mh,kuna kijana anaitwa Luca Mwashambwa amezuiliwa getini akakutaja wewe,unamjua?
 
Hakuna haki sawa...mwanamke ampigie magoti mwanaume.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…