Weka hapa screenshot ya screen ya Simu yako tujue social media platforms unazopenda zaidi

Weka hapa screenshot ya screen ya Simu yako tujue social media platforms unazopenda zaidi

Mkeka huoo.. Shikamoo pixel
Screenshot_20231129-155406.jpg
 
Phishing. Chukua tahadhari taarifa zako ndivyo zitakavyo nyukuliwa.

Wapo memba Wengi humu JF ambao wanakuwa wanaomba ushare screenshots n.k na wanaweza kuwa na nia nzuri tu, ila wapo wengine ambao wanaweza kuwa na hila.

Screeshots zako zinaweza kujumuisha taarifa zingine kama vile aina ya Simujanja unayotumia, maelezo mengine ya programu, operating system, na hata eneo lako la kijiografia.

Ndio maana unawasikia wengine wakidai wanaweza kukufikia tu ze maximum!

Just be careful with what you share.
Uongo. Huwezi kupata location ya mtu kwa kuona picha ya Screen ya simu yake
 
Phishing. Chukua tahadhari taarifa zako ndivyo zitakavyo nyukuliwa.

Wapo memba Wengi humu JF ambao wanakuwa wanaomba ushare screenshots n.k na wanaweza kuwa na nia nzuri tu, ila wapo wengine ambao wanaweza kuwa na hila.

Screeshots zako zinaweza kujumuisha taarifa zingine kama vile aina ya Simujanja unayotumia, maelezo mengine ya programu, operating system, na hata eneo lako la kijiografia.

Ndio maana unawasikia wengine wakidai wanaweza kukufikia tu ze maximum!

Just be careful with what you share.
Jamaa alichosema sio Uongo kina ukweli kwa 100%

Ukiwa hujui technology ya Cybersecurity na Hacking kwa Ujumla unaweza dhani jamaa ni Muongo au ni uchawi...

But ngoja niwafumbue macho kwanza...
Mtu anaweza kukutrack kutumia picha utakayopiga au screenshot kwa sababu huwa zimekuwa embarded na kitu kinaitwa Geotagging...
Au geotag...

Picha yoyote unayopiga sasa huwa na Geotag (Many smartphones automatically geotag their photos by default)

Sasa hizi geotag zikiwekwa kwenye simu husaidia nini..
Hizi geotag huwa na information kama Longitude na lattitude ya picha ilipopigwa..

Sasa mtu kukutrack huwa vyepesi sana akijua Longtude na latitude kwa sababu hizi ndo physical address zako...

SO NA MIMI NAKAZIA KUWENI MAKINI NA UTUMAJI WA PICHA MITANDAONI KAMA UNATAKA KUTOFAHAMIKA...
Picha inabeba vitu vingi sana ambavyo huenda hamvijui...

Cc:- Restless Hustler srinavas
 
Jamaa alichosema sio Uongo kina ukweli kwa 100%

Ukiwa hujui technology ya Cybersecurity na Hacking kwa Ujumla unaweza dhani jamaa ni Muongo au ni uchawi...

But ngoja niwafumbue macho kwanza...
Mtu anaweza kukutrack kutumia picha utakayopiga au screenshot kwa sababu huwa zimekuwa embarded na kitu kinaitwa Geotagging...
Au geotag...

Picha yoyote unayopiga sasa huwa na Geotag (Many smartphones automatically geotag their photos by default)

Sasa hizi geotag zikiwekwa kwenye simu husaidia nini..
Hizi geotag huwa na information kama Longitude na lattitude ya picha ilipopigwa..

Sasa mtu kukutrack huwa vyepesi sana akijua Longtude na latitude kwa sababu hizi ndo physical address zako...

SO NA MIMI NAKAZIA KUWENI MAKINI NA UTUMAJI WA PICHA MITANDAONI KAMA UNATAKA KUTOFAHAMIKA...
Picha inabeba vitu vingi sana ambavyo huenda hamvijui...

Cc:- Restless Hustler srinavas
hatari ndio maana wengine tunaweka screenshort za kupakua mtandaoni kuchangamsha uzi tu
 
Back
Top Bottom