Duuuh hizi starehe nyingine banaUmeshawahi kuachia mkojo kwenye nguo wakati mvua inanyesha......... That enjoyment kama upo Ibiza .............kile kijotooo
Kwa mfanoKuna vitu vingine sio vya kuhadithia kwenye halaiki
Basi hicho unachodhani sicho,ndicho.Huyo huwa siyo roho mtakatifu wewe...
Ugoro aka geji una stimu nzuri ukishautupia unabanwa na mavi saa hiyo hiyo!
Upate na choo Cha kukalia una enjoy kukata gogo kinyama
nilichanganya prince na konyagi aiseee siji kusahauK vant ukinywq nyingi unasahau mambo uliyoyafanya kipindi umelewa
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Haha.Kuvua sidiria au wigi unaporudi nyumbani baada ya siku ndefu kutoka mihangaiko
Kuvua sidiria yes....rahaKuvua sidiria au wigi unaporudi nyumbani baada ya siku ndefu kutoka mihangaiko
🙄🙄😳😳1. Kuchelewa kulala na kuamka umechoka, ile unataka kujiandaa kuwahi kazini, kichwa kinatulia unagundua kumbe upo off au likizo.
2. Umebanwa sana na haja kubwa au ndogo, ile raha unayopata unapoiachia haja iliyokutesa haina mfano. Mi huwa nafunga macho kabisa kama ni ndogo
3. Weekend umepigika zako home huna hata pesa ya pepsi, mara paap SMS inaingia, Imethibitishwa ya kiasi flani cha kwenda nje kujidai 😁
4. Kujisafisha maskio, kuna kasehemu flani ukisafisha na pamba unapata stim kali sana hadi macho yanapinduka
ikawaje [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]nilichanganya prince na konyagi aiseee siji kusahau
Hawa ndio Lisu alitarajia wataandamana1. Kuchelewa kulala na kuamka umechoka, ile unataka kujiandaa kuwahi kazini, kichwa kinatulia unagundua kumbe upo off au likizo.
2. Umebanwa sana na haja kubwa au ndogo, ile raha unayopata unapoiachia haja iliyokutesa haina mfano. Mi huwa nafunga macho kabisa kama ni ndogo
3. Weekend umepigika zako home huna hata pesa ya pepsi, mara paap SMS inaingia, Imethibitishwa ya kiasi flani cha kwenda nje kujidai 😁
4. Kujisafisha maskio, kuna kasehemu flani ukisafisha na pamba unapata stim kali sana hadi macho yanapinduka
Karibu sanaBangi....Aisee huu mmea uacheni