Weka hapa starehe zenye kuleta raha ila watu wanazibeza

Weka hapa starehe zenye kuleta raha ila watu wanazibeza

Huyo huwa siyo roho mtakatifu wewe...
Basi hicho unachodhani sicho,ndicho.
Kwa experience hyo ndo huwa kiburudisho kwangu.
Sihitaji ushahidi wa kisayansi,wala ujuzi wa mtu mwingine kunitolea maelezo/maelekezo ya ziada.
 
Kuvua sidiria au wigi unaporudi nyumbani baada ya siku ndefu kutoka mihangaiko
Haha.
Mie nakapendaga, basii ile unavua miwani, tupa mkobo, vua viatu na unaaanza ku-feel kile kiubaridi kabisa kinapenya, kisha zinafuatia nguo zoote halafu unaingia washroom, una jimwagia maji ya bariiiiiidi..!
 
1. Kuchelewa kulala na kuamka umechoka, ile unataka kujiandaa kuwahi kazini, kichwa kinatulia unagundua kumbe upo off au likizo.

2. Umebanwa sana na haja kubwa au ndogo, ile raha unayopata unapoiachia haja iliyokutesa haina mfano. Mi huwa nafunga macho kabisa kama ni ndogo

3. Weekend umepigika zako home huna hata pesa ya pepsi, mara paap SMS inaingia, Imethibitishwa ya kiasi flani cha kwenda nje kujidai 😁

4. Kujisafisha maskio, kuna kasehemu flani ukisafisha na pamba unapata stim kali sana hadi macho yanapinduka
🙄🙄😳😳
 
1. Kuchelewa kulala na kuamka umechoka, ile unataka kujiandaa kuwahi kazini, kichwa kinatulia unagundua kumbe upo off au likizo.

2. Umebanwa sana na haja kubwa au ndogo, ile raha unayopata unapoiachia haja iliyokutesa haina mfano. Mi huwa nafunga macho kabisa kama ni ndogo

3. Weekend umepigika zako home huna hata pesa ya pepsi, mara paap SMS inaingia, Imethibitishwa ya kiasi flani cha kwenda nje kujidai 😁

4. Kujisafisha maskio, kuna kasehemu flani ukisafisha na pamba unapata stim kali sana hadi macho yanapinduka
Hawa ndio Lisu alitarajia wataandamana
 
ile raha baada ya kumkula demu msumbufu alafu unakimbilia maskani kuhadithia, unaanza niwaambie nisiwaambie!!
 
Kuna muda umepanga budget yako yote ya mwezi kwenye kipato chako unachopata mara ngafla kuna pesa inajileta nje ya budget. Huna kuna kufeeling furani ivi unakapata na kujiona umenenepa ghafla.
 
Usiku wa safari fulani wa sehemu ulikua unadream tu kufika. Bwana we kila ukilala ukizinduka unaangalia saa......kamwe safari hiyo huwezi chelewa.
 
Back
Top Bottom