Weka hapa starehe zenye kuleta raha ila watu wanazibeza

Weka hapa starehe zenye kuleta raha ila watu wanazibeza

Sijui kwa nini uzi umenichekesha kiasi hiki[emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]
 
Kuna mwana aliazima begi langu dogo la mgongoni siku kalirudisha nipo majalala hatari. Nina kasafari ka kwenda town halafu nina buku tu 500/= kwenda na nyingine kurudi, nipo kwenye daladala kulisachi nakuta 10k, you should have seen my face. I was glowing 😊😊😊


Kuna hotel fulan tulikuwa tunajenga Yale makabati ya ukutani ya saruji, katika kuyavunja yale ya zamani si nikakutana na mfuko umejaa dollars za marekani?!

Kuja kuzibadili karibu millions tatu na ushee!

Acheni tu jamani...!
 
Kuna hotel fulan tulikuwa tunajenga Yale makabati ya ukutani ya saruji, katika kuyavunja yale ya zamani si nikakutana na mfuko umejaa dollars za marekani?!

Kuja kuzibadili karibu millions tatu na ushee!

Acheni tu jamani...!
Duh hiyo ndio starehe tamu sasa unapata na mtaji heavy
 
kama hujawahi tumia ugoro omba wakupimie na uwe umeshiba
ila sio mzuri` nimewahi tumia for 2 days nika ukimbia

Ila We jamaa kwa maswali upewe tuzo tu.
Ugoro aka geji una stimu nzuri ukishautupia unabanwa na mavi saa hiyo hiyo!
Upate na choo Cha kukalia una enjoy kukata gogo kinyama
 
1. Kuchelewa kulala na kuamka umechoka, ile unataka kujiandaa kuwahi kazini, kichwa kinatulia unagundua kumbe upo off au likizo.

2. Umebanwa sana na haja kubwa au ndogo, ile raha unayopata unapoiachia haja iliyokutesa haina mfano. Mi huwa nafunga macho kabisa kama ni ndogo

3. Weekend umepigika zako home huna hata pesa ya pepsi, mara paap SMS inaingia, Imethibitishwa ya kiasi flani cha kwenda nje kujidai 😁

4. Kujisafisha maskio, kuna kasehemu flani ukisafisha na pamba unapata stim kali sana hadi macho yanapinduka
Watu wanachanganya feeling za starehe na the most high
 
Uko na njaa kali,then mkuu wa meza kilo za kutosha,aliyechanganywa fresh na mboga mboga,ndizi/ugali pembeni,, shushia na castle baridi...
Ndio maana mnapatana mavitambi. Hayo yote mauchafu ubashushia na Bia baridi
 
Umetoka kufanya mazoezi, umetoa jasho la kutosha, una kiu....ile unafika home unachukua glasi ya maji unaanza kunywa..ile feeling inayokuja baada ya ulimi kugusa maji huwa ni ya aina yake...I be like damn...!

Unakaa pozi ambalo linafanya kiungo fulani kisipate damu ya kutosha (hasahasa mguu, mkono au kidole), baada ya muda kiungo hicho kinaanza kufa ganzi. Unaacha ganzi inaingia kweli kweli then unabadilisha pozi ili damu sasa iweze kupita vizuri..ile feeling damu inavyorudi huwa ni amaizing sana. Yaani kama kuna vimiiba vinakuchimachoma, maumivu matamu kwa mbwali....so amaizing.

Unatoa ulimi nje sehemu yenye upepo, unyevunyevu ulio kwenyr ulimi unakauka wote kiasi ulimi unakuwa hauwezi kuhisi ladha. Unaweka chumvi hauihisi, unaweka sukari hauihisi. Ukichoka hilo zoezi kuna namna unauchezesha ulimi, vimaji kutoka kwenye ulimi kwa saili ya kuruka kama spray. Acha kabisa....

Nimechoka kuandika, ngoja nipumzike.
 
umeamka siku nzima mbaya mara unakutana na crush wako anakuchangamkia mnapiga conversation moja amazing mpaka raha.
 
Boarding school kulikuwa na kale kaugonjwa cha mbupu erosion,sasa pakiwasha na pale utakapojikuna aiseee kuna feeling Kali sanaaa but baadae maumivu makali sana yanakuhusu

Hahahhaha umenikumbusha Tanga Tech mkuu. Hahhahaha pumbu erosion [emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom