Weka hapa tukio ambalo hutokuja kulisahau

Mi sitasahau siku jeshini tulichota mavi chini kwa kidole kama (tutavyochota mafuta ya kujipaka kwenye kichupa)hadi yakaisha maana kuna mwenzetu alikunya nyuma ya hanga maafisa wakaja kuyakuta
Hahahaha usiombe ukutane na RSM mnaa kwenye kitendo kama hiki
 
Wee acha kabisa yaani usiombee
Kuna sameja flani ye alikua hana doso lingine zaidi ya kubeba dunia,.. Siku tumedoji na wanangu tumelala hadi saa 3 akatukamata tulikroo chini ya vitanda vibaya mno then akatutoa nje kwenye mchana tulikroo vya kutosha mwisho akatubebesha dunia mzee hapo ni machozi + jasho vinamiminika


Sitasahau
 
Hakuna adhabu ninayochukia jeshini kama kubeba dunia na ile kupiga simu na mwendo wa kibata bata
 
Mi sitasahau siku jeshini tulichota mavi chini kwa kidole kama (tutavyochota mafuta ya kujipaka kwenye kichupa)hadi yakaisha maana kuna mwenzetu alikunya nyuma ya hanga maafisa wakaja kuyakuta
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nakuunga kwenye kuichukia hiyi bodi. Japo mimi nilisoma na kumaliza ila najutia sana kwanini nilifanya hivyo na kumaliza zaidi ya million 10 kusoma ujinga.
 
Siku shonza na ruge walivoshirikiana kuzima moto kwa kuufunika na vifuuu huku wakiumwagia mafuta ya petroli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…