Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
Nimeona Kuna haja wakati mwingine kuweka ushabiki pembeni na tuichambue ligi yetu kiweledi na kitaalam.
Kwa mfano mara nyingi ni watu wachache sana hutueleza ni Kwa nini wanasema timu Fulani ni dhaifu ama imara.
Wachambuzi kama Ramadhani mbwaduke huleta ladha ya uchambuzi Kwa kuwa hutumia takwimu.
Hapa JF nimegundua tunao watu wa kutosha wenye uwezo wa kuichambua ligi yetu kiweledi na kitaalam lakini wamepofushwa na ushabiki wa Simba na Yanga.
Thread hii utumike kuchambua ligi yetu Kitaalam na kiweledi ili tusio na ufahamu mpana wa Mpira wa miguu na sisi tufaidike.
Kwa mfano jee kila mchezaji anayetoka nje ya nchi yetu ni bora zaidi kuliko wachezaji wetu? Kabla ya kusajili wachezaji kutoka nje ya Tanzania vilabu vyetu vitumie vigezo gani ili kupata wachezaji wanaostahili kusajiliwa?
Mifumo ya uendeshaji wa vilabu vyetu unaweka mazingira ya uendelevu?
Kwa nini waamuzi toka kwenye ligi yetu huwa hawachezeshi mashindano ya kimataifa?
Na mambo mengine mengi yahusuyo ligi yetu.
Kwa mfano mara nyingi ni watu wachache sana hutueleza ni Kwa nini wanasema timu Fulani ni dhaifu ama imara.
Wachambuzi kama Ramadhani mbwaduke huleta ladha ya uchambuzi Kwa kuwa hutumia takwimu.
Hapa JF nimegundua tunao watu wa kutosha wenye uwezo wa kuichambua ligi yetu kiweledi na kitaalam lakini wamepofushwa na ushabiki wa Simba na Yanga.
Thread hii utumike kuchambua ligi yetu Kitaalam na kiweledi ili tusio na ufahamu mpana wa Mpira wa miguu na sisi tufaidike.
Kwa mfano jee kila mchezaji anayetoka nje ya nchi yetu ni bora zaidi kuliko wachezaji wetu? Kabla ya kusajili wachezaji kutoka nje ya Tanzania vilabu vyetu vitumie vigezo gani ili kupata wachezaji wanaostahili kusajiliwa?
Mifumo ya uendeshaji wa vilabu vyetu unaweka mazingira ya uendelevu?
Kwa nini waamuzi toka kwenye ligi yetu huwa hawachezeshi mashindano ya kimataifa?
Na mambo mengine mengi yahusuyo ligi yetu.