Weka mbali na wanawake. Ni mfano tu

Weka mbali na wanawake. Ni mfano tu

Inawezekana sana. Anaweza asiumwe lakini ukawa mbali nae hata kwa miaka miwili
 
we ni mpuuz nando mana wazee wa zamani waliwakeketa ili asiwe nahamu hizo nyege zishie huko huko ndani
We ndo mpuuzi tena huwazii wengine,unaishi na mwanamke kama mnyama unavizia ukisikia hamu umpande,hujui hata kwanini waliwakeketa,kwasababu walioa wengi hawakuweza sana kutimiza haja zao waliwakeketa ili waweze kuwahudumia,ilibidi mwanamke aumie ili mwanaume afaidi,najua huna akili ila sikujua kama huna akili kiasi hiki
 
unadhan m.mungu alivyosema oa 2,3,4 na ukishindwa kuwafanyia uadilifu oa mmoja unadhan hakujua wanaume tupoje acha kutia akili katia ili jmn!
Lini Mungu alisema hivyo.huyo mtume alisema hivyo kwa interest zake tu
 
Back
Top Bottom