Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,108
- 10,191
Ujinga kwa maana gani. Mtu mwemye PhD kasema bongo hakuna maisha magumu,watu wanamagari namba EEeh!!! Ina maana jamiiforum ina watu wajinga kiasi hiki???
Amekuambia yeye ni la saba B na hawezi kushindana na mwenye PhD. Ukitafakari alichoandika utagundua yeye sio mjinga bali ametumia lugha flani hivi ya kuwakilisha.Eeh!!! Ina maana jamiiforum ina watu wajinga kiasi hiki???
Ukiacha siasa alichosema Mwigulu alikuwa sahihi, watu hawawezi nunua gari kwa fujo hiv kama hakuna pesa mtaani,Amekuambia yeye ni la saba B na hawezi kushindana na mwenye PhD. Ukitafakari alichoandika utagundua yeye sio mjinga bali ametumia lugha flani hivi ya kuwakilisha.
Ukimjua huyu mwenye PhD alisema nini kuhusu gari namba E nadhani ndo uta-conclude kama mleta uzi ni mjinga au mwerevu
Fujo umeiona wapi hiyo ya kununua magari mzee mbona Njombe hapa hakuna hata duka la hayo magariUkiacha siasa alichosema Mwigulu alikuwa sahihi, watu hawawezi nunua gari kwa fujo hiv kama hakuna pesa mtaani,
Tazama jinsi namba E inavyokwenda speed, tena sio gari za ovyo, ni Subaru, dualis, outlander, Mazda C5 na nyingine za hivyo
Ameongea utumbo mtupu...ukiangalia walionunua hizo ulizozitaja apo hizo zote kama sio used cars basi robo tatu ni used cars..huwezi pata zote ni mpya,ukiona unapenda gari na bado huna uwezo wa kununua brand new basi jua bado upo kwenye kundi la umaskiniUkiacha siasa alichosema Mwigulu alikuwa sahihi, watu hawawezi nunua gari kwa fujo hiv kama hakuna pesa mtaani,
Tazama jinsi namba E inavyokwenda speed, tena sio gari za ovyo, ni Subaru, dualis, outlander, Mazda C5 na nyingine za hivyo
kupiga picha bila ridhaa ya mpigwaji ni kosa kisheria...Mimi nimeishia la saba B, hivyo siwezi bishana na mwenye PhD. Leo nilikuwa natembea nikaona gari kadhaa za namba E, nimezipiga picha. Kwa wengine kama mkiyaona yapigeni picha kuonesha utajiri wa watu wa nchi hii.
Pia kama ukipita bar au club piga picha nyomi tuone utajiri wa nchi.
View attachment 2929103
Kabaka mada huyo, mleta Uzi ana akili kama mchwa!Amekuambia yeye ni la saba B na hawezi kushindana na mwenye PhD. Ukitafakari alichoandika utagundua yeye sio mjinga bali ametumia lugha flani hivi ya kuwakilisha.
Ukimjua huyu mwenye PhD alisema nini kuhusu gari namba E nadhani ndo uta-conclude kama mleta uzi ni mjinga au mwerevu
Fujo umeiona wapi hiyo ya kununua magari mzee mbona Njombe hapa hakuna hata duka la hayo magari
Sasa mzee kwa uchumi wa Tz hata hizo hizo used za 15-30M zinaponunuliwa sana zinaonyesha uchumi umepanda, no way waTz from no where tukaanza agiza chuma za 0km kwa 200M +Ameongea utumbo mtupu...ukiangalia walionunua hizo ulizozitaja apo hizo zote kama sio used cars basi robo tatu ni used cars..huwezi pata zote ni mpya,ukiona unapenda gari na bado huna uwezo wa kununua brand new basi jua bado upo kwenye kundi la umaskini
Namba tu!kupiga picha bila ridhaa ya mpigwaji ni kosa kisheria...
Tii sheria bila shuruti π
Tulia.Mbona una haraka isiyo na tija?Eeh!!! Ina maana jamiiforum ina watu wajinga kiasi hiki???