Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 24,665
- 25,388
ikibanika usilalamike ati makofi ni makali 🐒Namba tu!
sio kwa ubaya lakini 🐒
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ikibanika usilalamike ati makofi ni makali 🐒Namba tu!
😂😂ikibanika usilalamike ati makofi ni makali 🐒
sio kwa ubaya lakini 🐒
Hiyo namba TZA
Kwenye social media ukipitwa na issue tu ya wiki moja ukirudi unakuta agenda inaendelea bila ku-scroll nyuma unakuwa umeachwa hasa kwa wanaoongea kwa "codes"Kabaka mada huyo, mleta Uzi ana akili kama mchwa!
Gari anazozungumzia ni zile zenye vyoo ndani na zinazobeba zaidi ya watu 60 kwenda Singida, si kila gari ni gari mengine ni manyangarakasha.Mimi nimeishia la saba B, hivyo siwezi bishana na mwenye PhD. Leo nilikuwa natembea nikaona gari kadhaa za namba E, nimezipiga picha. Kwa wengine kama mkiyaona yapigeni picha kuonesha utajiri wa watu wa nchi hii.
Pia kama ukipita bar au club piga picha nyomi tuone utajiri wa nchi.
View attachment 2929103
Esther au. ??Gari anazozungumzia ni zile zenye vyoo ndani na zinazobeba zaidi ya watu 60 kwenda Singida, si kila gari ni gari mengine ni manyangarakasha.
Esther ni jina la mwanangu hajawahi kununua hata toroli la kubebea taka.Esther au. ??
Atanunua kila akitakacho muda ukifika kwa baraka za Mungu 🙏🙏🙏Esther ni jina la mwanangu hajawahi kununua hata toroli la kubebea taka.
KabisaKwenye social media ukipitwa na issue tu ya wiki moja ukirudi unakuta agenda inaendelea bila ku-scroll nyuma unakuwa umeachwa hasa kwa wanaoongea kwa "codes"
Kwahiyo siyo gari yake, tukubaliane kwa hilo.Atanunua kila akitakacho muda ukifika kwa baraka za Mungu 🙏🙏🙏
Inasikitisha sana mkuuEeh!!! Ina maana jamiiforum ina watu wajinga kiasi hiki???
👍👏Kwahiyo siyo gari yake, tukubaliane kwa hilo.