ikibanika usilalamike ati makofi ni makali πNamba tu!
ππikibanika usilalamike ati makofi ni makali π
sio kwa ubaya lakini π
Hiyo namba TZA
Kwenye social media ukipitwa na issue tu ya wiki moja ukirudi unakuta agenda inaendelea bila ku-scroll nyuma unakuwa umeachwa hasa kwa wanaoongea kwa "codes"Kabaka mada huyo, mleta Uzi ana akili kama mchwa!
Gari anazozungumzia ni zile zenye vyoo ndani na zinazobeba zaidi ya watu 60 kwenda Singida, si kila gari ni gari mengine ni manyangarakasha.Mimi nimeishia la saba B, hivyo siwezi bishana na mwenye PhD. Leo nilikuwa natembea nikaona gari kadhaa za namba E, nimezipiga picha. Kwa wengine kama mkiyaona yapigeni picha kuonesha utajiri wa watu wa nchi hii.
Pia kama ukipita bar au club piga picha nyomi tuone utajiri wa nchi.
View attachment 2929103
Esther au. ??Gari anazozungumzia ni zile zenye vyoo ndani na zinazobeba zaidi ya watu 60 kwenda Singida, si kila gari ni gari mengine ni manyangarakasha.
Esther ni jina la mwanangu hajawahi kununua hata toroli la kubebea taka.Esther au. ??
Atanunua kila akitakacho muda ukifika kwa baraka za Mungu πππEsther ni jina la mwanangu hajawahi kununua hata toroli la kubebea taka.
KabisaKwenye social media ukipitwa na issue tu ya wiki moja ukirudi unakuta agenda inaendelea bila ku-scroll nyuma unakuwa umeachwa hasa kwa wanaoongea kwa "codes"
Kwahiyo siyo gari yake, tukubaliane kwa hilo.Atanunua kila akitakacho muda ukifika kwa baraka za Mungu πππ
Inasikitisha sana mkuuEeh!!! Ina maana jamiiforum ina watu wajinga kiasi hiki???
ππKwahiyo siyo gari yake, tukubaliane kwa hilo.