Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 15,954
- 35,415
Lini watu waliacha kununua magari, lini watu waliacha kukesha bar hata bia zipande bei.Ukiacha siasa alichosema Mwigulu alikuwa sahihi, watu hawawezi nunua gari kwa fujo hiv kama hakuna pesa mtaani,
Tazama jinsi namba E inavyokwenda speed, tena sio gari za ovyo, ni Subaru, dualis, outlander, Mazda C5 na nyingine za hivyo
pale unapojiona mwerevu kwa wengine, kumbe wamekuzidEeh!!! Ina maana jamiiforum ina watu wajinga kiasi hiki???
Ila huyu PhD wetu ana upeo mdogo sana wa kufikiri tena sana elimu yake ni sufuri kabisaAmekuambia yeye ni la saba B na hawezi kushindana na mwenye PhD. Ukitafakari alichoandika utagundua yeye sio mjinga bali ametumia lugha flani hivi ya kuwakilisha.
Ukimjua huyu mwenye PhD alisema nini kuhusu gari namba E nadhani ndo uta-conclude kama mleta uzi ni mjinga au mwerevu
PhD nyingine hiiUkiacha siasa alichosema Mwigulu alikuwa sahihi, watu hawawezi nunua gari kwa fujo hiv kama hakuna pesa mtaani,
Tazama jinsi namba E inavyokwenda speed, tena sio gari za ovyo, ni Subaru, dualis, outlander, Mazda C5 na nyingine za hivyo
Ulisoma fasihi?Eeh!!! Ina maana jamiiforum ina watu wajinga kiasi hiki???
Kama nchi bado tunajadili walionunua magari second hand yenye namba E. Safari bado ndefu sana, tena anayeongea ni Waziri wa Fedha.Lini watu waliacha kununua magari, lini watu waliacha kukesha bar hata bia zipande bei.
Wengine vichwa vyenu huwa mnavitumia kama dispenser ya kuhifadhia mate tu, ni jambo jema piaUkiacha siasa alichosema Mwigulu alikuwa sahihi, watu hawawezi nunua gari kwa fujo hiv kama hakuna pesa mtaani,
Tazama jinsi namba E inavyokwenda speed, tena sio gari za ovyo, ni Subaru, dualis, outlander, Mazda C5 na nyingine za hivyo
Na hata elfu kumi kumi zimekuwa nyingi mtaani. pHD zetu ni Kali Sana kuliko za stdMimi nimeishia la saba B, hivyo siwezi bishana na mwenye PhD. Leo nilikuwa natembea nikaona gari kadhaa za namba E, nimezipiga picha. Kwa wengine kama mkiyaona yapigeni picha kuonesha utajiri wa watu wa nchi hii.
Pia kama ukipita bar au club piga picha nyomi tuone utajiri wa nchi.
View attachment 2929103
Yaani hakika wewe ni darasa la saba sana. Nakumbuka awamu ya nne waswahili wanaongoza kina sophia simba wanasema nchi iko vizuri kiuchumi maana jijini dar magari mengi hadi msongamano wa magari.Mimi nimeishia la saba B, hivyo siwezi bishana na mwenye PhD. Leo nilikuwa natembea nikaona gari kadhaa za namba E, nimezipiga picha. Kwa wengine kama mkiyaona yapigeni picha kuonesha utajiri wa watu wa nchi hii.
Pia kama ukipita bar au club piga picha nyomi tuone utajiri wa nchi.
View attachment 2929103
Darasa la saba wauliweMimi nimeishia la saba B, hivyo siwezi bishana na mwenye PhD. Leo nilikuwa natembea nikaona gari kadhaa za namba E, nimezipiga picha. Kwa wengine kama mkiyaona yapigeni picha kuonesha utajiri wa watu wa nchi hii.
Pia kama ukipita bar au club piga picha nyomi tuone utajiri wa nchi.
View attachment 2929103
Tabaka la wenye uwezo kumiliki gari, achilia mbali hiyo namba E, ni wangapi kwenye nchi hii??Ukiacha siasa alichosema Mwigulu alikuwa sahihi, watu hawawezi nunua gari kwa fujo hiv kama hakuna pesa mtaani,
Tazama jinsi namba E inavyokwenda speed, tena sio gari za ovyo, ni Subaru, dualis, outlander, Mazda C5 na nyingine za hivyo
Bado ni dogo lakin linakua kwa kasiTabaka la wenye uwezo kumiliki gari, achilia mbali hiyo namba E, ni wangapi kwenye nchi hii??
Hizo ndo zinaitwa cheap politics.Kama nchi bado tunajadili walionunua magari second hand yenye namba E. Safari bado ndefu sana, tena anayeongea ni Waziri wa Fedha.
Hakika mkuuHizo ndo zinaitwa cheap politics.
Kuna watu vijiweni hawaelewi, wanatumia hoja ya huyo Magulu sijui njigulu kupotosha watu.