Weka picha ya kijana anaevutia

du u handsome mjini ni kuwa na hela tu...we huon jackline miss kaolewa na mtu mwingine kabisaa kawaacha masharobaro..
 
Ha haa haaa.....
Unajua tumeishi sana Ulaya vijijini?
Au hajakwambia maana Chocs huwa hapendi sifa.
Kwanza mlete mshenga ndiye niongee nae.
We naona unataka nirudi mtaani nikiwa single...nitakuachia dada yako ushangae
 
ndio wakoje hao, embu kapicha nione mfano
Warembo ni wakike ila kwa wakiume wanawaitaga hvo ndio maana mtoa mada kavutiwa na huyooooo kwa picha[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] picha sina aisee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…