Weka picha ya kijana anaevutia

Mbona hueleweki?
 
Nami nakukubali mno 'Denzi.

Ile siku itatimia tu....πŸ˜›.
Ngabu naomba uniachie Denzi please.maana Valentina umemchukua,Dinazarde umemchukuaau vipi? basi huyu Afro niachie mimi ingawa kafa kwa Ali Kiba.
 
Pole kama nimekukwaza.
Kuna kitu kuhusu Ali Kiba . Yaani anauzuri wake fulani hivi .
Basi na wewe mamii njoo huku Pm tafadhali,nina ujumbe wako please uwe mpole na usikilize uitiwalo,kama utaona sio sawa basi unakaa kimya baada ya kupokea ujumbe au siyo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…