Sharamdala
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 3,558
- 6,538
Uzi wa manufaa sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu shukrani sana, haya wadau fursa hii hapa.Current we're looking for young, dynamic and experience bar manager and Bartenders at Royal Zanzibar Beach Resort.
Please share with friends and contact me at fbassistant@royalzanzibar.com.
Thanks
UDART wanakuhitaji haraka sana fuatilia post yangu hapo juuProfession: Sales & Marketing
Experience : 4+ years
Education: Bachelor in Logistics & Transport management
Location: Dar es salaam
Imefika mkuu,.anza na UDART hapo juuLogistics officer
Degree holder with 8 years of unemployment.
Dwelling in Mwanza city slums.
Kindly contact me and save my Family.
Guys being jobless is not an easy thing.
Its pain is real
Tangazo lao sijui ni kwa ajili ya staff wa ndani tuu, maana hamna hata address wapi unatuma.UDART wanakuhitaji haraka sana fuatilia post yangu hapo juu
Zipo nyingi, watu wa hospitality industry wakae mkao wa kula.Mkuu shukrani sana, haya wadau fursa hii hapa.
Mkuu apo mkoa wa pwani umesha wahi fanya kazi apoKwa kuwasaidia piteni mkoa wa pwani na wilaya ya mkuranga (mkoa wa pwani ndo unaongoza kwa kuwa na viwanda vingi sana) japo mostly ni vya wachina na wahindi lakini kwa kujishikiza sio mbaya jitahidi mfike physically mnaweza kubahatisha naamini katika viwanda 10 ukivitembelea huwez kosa hata kimoja... napendekeza kwenda physically maana hawana strong system ya ajira kama makampuni makubwa mfano TBL au TCC so ukienda physically ni rahisi ukajikuta umeeenda leo kesho umepata kazi.. nafasi ambazo ni preffered sana ni mechanical zote kuanzia welding,fittings, n.k electrical, quality control main kwnye laboratory field..,logistic, HR, environment and safety, operator wa forklift, wheel loder(kijiko), Excavator n.k pia dumper driver au tipper, store, accountat ,sales na machine operator (production machine).
Naamini itawasaidia.
Yap yap ndo nmeanziaga kazi nilivomaliza chuo 2013Mkuu apo mkoa wa pwani umesha wahi fanya kazi apo
Mm ni mechanical fitting na welder kidogo waweza nisaidia mkuuYap yap ndo nmeanziaga kazi nilivomaliza chuo 2013
Wewe mbona faster sana mkuu huwez zunguka viwanda 3 ukakosa nafasi yaan huwez kwa nature ya kuleMm ni mechanical fitting na welder kidogo waweza nisaidia mkuu
Daah tatizo umbali pia nashindwa nianzie wp huko cna hata ndugu Wala jamaaWewe mbona faster sana mkuu huwez zunguka viwanda 3 ukakosa nafasi yaan huwez kwa nature ya kule
Sales n marketing uzoefu muda gani?Hongera sana chief, kwa idea hii.
Status : Job seeker
Proffesion: Community Development
Experience : Sales and Marketing, Social Worker, Community Development Worker/Gender
Education level : Bachelor Degree
Location (currently ): Dar es Salaam (Ilala).
Yah hicho ni kipengele... ungekuwa maeneo jirani kama dar ni rahisi kwenda kufanya hustle yaan nakuhakikishia ukianza kuzunguka j3 mpka ijumaa ushapata kazi... nilishafanya kazi viwanda kama vi2 tofaut so naelewa nachomaanisha na hata makazi yangu ya kwnza niliyaanzisha huko... umbali kutoka wilaya ya mkuranga mpka dar es alaam ni km kama 15 tuDaah tatizo umbali pia nashindwa nianzie wp huko cna hata ndugu Wala jamaa
Miaka 5 bossSales n marketing uzoefu muda gani?
6 years kwenye nini hasa?Profile
Sex:Female
Age:32
Level of education:degree-Public Relations and marketing
Experience:6 years
Location::nipo Dar es salaam
Kazi:sales,customer service,office administrator,banking
Ulipaji wao c unaelfeweka kidg mkuuYah hicho ni kipengele... ungekuwa maeneo jirani kama dar ni rahisi kwenda kufanya hustle yaan nakuhakikishia ukianza kuzunguka j3 mpka ijumaa ushapata kazi... nilishafanya kazi viwanda kama vi2 tofaut so naelewa nachomaanisha na hata makazi yangu ya kwnza niliyaanzisha huko... umbali kutoka wilaya ya mkuranga mpka dar es alaam ni km kama 15 tu
DmMiaka 5 boss