Exformer
JF-Expert Member
- Nov 12, 2018
- 842
- 982
Kama kuna mpango nipo hapa namanyere napajua, shahada ya maendeleo ya jamii hapaUnajua namanyere
Ulumi huko ndani ndani?
Nyumba za tembe utaenda??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama kuna mpango nipo hapa namanyere napajua, shahada ya maendeleo ya jamii hapaUnajua namanyere
Ulumi huko ndani ndani?
Nyumba za tembe utaenda??
Fresh graduates karibuni PM kuna nafasi za internship mbili mahali ukifany vzr wanakuchukua.
Amefunga an kitamboPm umefunga mkuu
We mwenzetu mboga 10, njia Isha nyooshwa, so you ain't giving a shit.kuhusu huo ugumu wa ajira
We SI Gilly??Age: 26
Gender: Male
Education: Form Six
Work Experience: Clerk(AOTTL)-Scanner Operator
Language Proficiency: English and Swahili.
Basic computer skills.
Current location: Tabora
Natanguliza shukrani, naomba msaada wa ajira wakuu, mbarikiwe!!
Mkuu ile ya mwanza hamkupata??Amefunga an kitambo
PM nilifika unasema ile ya kuendesha guest ama ile ya dar sales officer ?Mkuu ile ya mwanza hamkupata??
Hapana kiongozi!!We SI Gilly??
Jifunze kuendeshq, upate hata leseni ya mchongoPM nilifika unasema ile ya kuendesha guest ama ile ya dar sales officer ?
Zote nimefatilia ya kuendesha Guest nilituma CV kama alivyotaka
Ya sales Dar ishu ya Driving skills na kutokuwep Dar ikakwamisha mchongo
Sema sikuhizi internship mpaka TAESA kwa organization za serikali Sasa sijui za private utaratibu waoMkuu ile ya mwanza hamkupata??
Mwezi huu naingia veta kuchukua chet na lesemJifunze kuendeshq, upate hata leseni ya mchongo
Nimefanya training and interview mwanza, vp una namna ya mchongoSema sikuhizi internship mpaka TAESA kwa organization za serikali Sasa sijui za private utaratibu wao
Upo mtaa gani?Kama kuna mpango nipo hapa namanyere napajua, shahada ya maendeleo ya jamii hapa
Njoo tulimeEeeh Wana provide Nini huko [emoji41]
Now nipo kigomaUpo mtaa gani?