Weka urafiki na wanajeshi (bakabaka) hutojutia

Weka urafiki na wanajeshi (bakabaka) hutojutia

Kwanza mimi na watu wa eneo liliokuwa likizungukwa na kambi tulipewa vitu vingi sana,coz hata kambi sisi raia tuliwasaidia sana kuzijenga.
 
Maeneo ya kambi yetu tulkuwa tukiwasaidia kuwachotea maji,kufua nk.Kupitia huo ukaribu kuna watu walilamba shavu mpaka sasaivi ni JWTZ afu ni wengi kinoma pia mimi nlikuwa nacheza timu ya jeshi na washikaji kibao tulpata vitu vingi vya gharama.

Najua siri nyingi za hawa jamaa ila zinazohusiana na kazi yao plz sitazitaja ila lifestyle yao ni noma.Firstly mimi ni mmoja wa wale watu ambao ndugu zao wengi ni JWTZ ingawa mimi skupenda kuwa.

Niliombwa sana njiunge na jeshi hadi baadhi ya gharama za kunpeleka VETA nijifunze gari zikatolewa na hao jamaa ila nilizingua kutokana na ambitioni yangu ya kufanya biashara.

Wansjeshi ni watu pisi sana afu wana utu japo humo ndani wahuni wapo pia,jamaa wana vipaji vya hatari sana,nawakubali miaka buku.[emoji120]
 
Hakuna mtu wa kumtoa Mtu mwingine kinguvu awapo kituo cha Polisi, hii yako ni Chai kama chai zingine
Usiseme hivyo mkuu,wanajeshi huwatwanga Polisi tena ngumi za maana pia nimeshuhudia visa vya JWTZ kuwachomoa wenzao Central,hyo kesi alkuja kuiamua mkuu wa Wilaya japo ultoka ushauri tu.Kuna muda unakuta mkuu wa kambi (OC) ni dogo yani ni msela tu kwahyo ukienda kushtak wanalindana.Napata uvivu kuandika ila nina visa vingi vya hawa jamaa.
 
Kwenye mada,kuna kasomo kazuri. Ila,unataka kuharibu.
-Labda nisiingie kiundani zaidi,mambo yao hayanihusu, ila hawa jama hawanaga mafundi kwenye kambi zao? Kiasi cha kumzowesha raia kwenda kutengeneza magari! Navyojua mimi kama ni gari la jeshi, likiharibika njiani,bila kujali umbali,breakdown ya jeshi italifata,kama waliokuwemo hawana element ya ufundi au wao wasipoamua kumtumia fundi karibu,na pale wanapoona shida si kubwa.
-Si kwamba wanawake wanajeshi hawaolewi na raia. Kugegedwa sawa,inawezekana sana tu. Kwa hiyo,dogo kamzalisha tu huyo demu mjeda na akamuacha? Au walioana af akawa anafanya ujinga wake!
Wape staha yao, ila sidhani kama kuna mwanajeshi mwanamke anaweza kuzalishwa hivi hivi na akaachwa aendelee na kazi. Kama nfo hivo inawezekana,nidhamu kwao ni nini? Maana hata hilo ni moja wapo wa mambo ambayo ni mwiko kwa mwanajeshi mwanamke kutokujiheshimu.
Japo na kwa mapolisi sijui,ila haitakiwi.
Uongo punguza. Mpaka mtu anakuwa mkuu wa kambi, cheo chake si cha kuchukulia poa ujue? Hivyo, huyu mtu hata kama amestaafu yupo uraiani, bado anaongozwa kijeshi, huijiwa na Military Polisi(MP), polisi itamlipoti tu jeshini, watakuja wachukue mtu wao,lakini kuwekwa ndani kituo cha polisi!? Halipo na halitatokea.

Hiyo mikoa unayosema kambi furani na kambi furani wana ugomvi, kama Somalia sawa. Kwenyebkambi za mahalamia nakubali.
Ila jeshi la nchi,eti kambi zina ugomvi? Wa nini labda?
Weeee, kambi za jeshi si Simba na Yanga ndugu yangu.

Muweleshe huyo kijana aelewe tunavyo ishi sisi.
 
Muweleshe huyo kijana aelewe tunavyo ishi sisi.
Itakuwa kama kumpigia mbuzi gitaa,maana wengine wanapenda sana kuishi maisha ya kwenye filamu tu. Mtu anamuona kwenye movie commando,nae anaenda kutunisha misuri na kuwavuruga raia. Watajua wenyewe
 
Nawasalimu kwa jina la jamhuri ya muungano?

KUna ndugu yangu alisema kataa kabisa urafiki na askari polisi. Naunga mkono hoja.

Mimi nasisititiza kama kichwa cha habari kinavyosema, tengeneza urafiki na askari wa mabakabaka, hawa watu wapo very humble, wana upendo na heshima katika jamii, japo wachache wanawaharibia.

Kuna ndugu yangu alikuwa ni fundi wa gereji za magari mkoa Fulani sio dar. Alikuwa anawatengenezea sana wanajeshi magari yao, ikafika kipindi wasipomkuta dogo wanamtafuta anaenda mpaka kambini kuchukua magari na anawatengenezea kwa uaminifu.

Siku moja katika viwanja vyake dogo vya starehe kuna polisi akamletea ubabe akampiga akaita wenzake wakaenda kumsweka ndani ishu ni ya wanawake.

Mimi napewa taarifa usiku saa5 na mtu aliyekuwepo mule ndani club dogo wamempga na wamemchukua, usiku huo huo nikavuta waya kwa jamaa mmoja mwanajeshi alikuwa anamkubali sana dogo, baba yake alikuwa mkubwa wa kambi katika huo mkoa,

Akaniuliza ilikuwaje nikamwambia kama nilivyoambiwa akaniambia ok tunakuja hapo, usiku saa5 inakimbilia saa6 wakaja wanajeshi watatu na yule jamaa wa nne.

Wakasema vaa twende kituoni, na gari mpaka kituoni wakafika reception wakasema tumekuja kumchukua mdogo wetu muda huu, polisi wakaanza hizo sio protocol dogo alikuwa analeta fujo, wakasema mkitaka pafungwe hapa leo huyo dogo msimtoe uone.

Ikabidi waende kumtoa selo usiku saa6, nimekaa mbali naogopa hapo, baada ya kumtoa jamaa akasema nitakutafuta, tukaondoka.


Nawapa hongera bakabaka wana nidhamu kubwa sana.bora urafiki na bakabaka.


Share kisa chako na bakabaka.
Hapa ndipo tulipofika. Raia badala ya kuhimiza mabadiliko ili kuwepo na utawala wa sheria na polisi wasiwe wababe, tunahimizana tuwe ''chawa'' wa wanajeshi ili watusaidie! Ni watu raia wangapi watafanya urafiki na wanajeshi?
 
Na, kinyume chake ni balaa, hapo wamekusaidia, lakini wanavunja uta wala wa sheria, mwenye jukumu la law enforcement ni polisi, sio wanajeshi, hawa hujiona wapo juu ya sheria, sheria za balabalani, wanavunja wanavyo taka bila dharula yoyote, hujiona wao ndio wenye "monopoly of violence"
Kuna mmoja daladala ya kutoka mwenge analazimisha imshushe karibu na lango LA lugalo,
Dereva akagoma, jamaa mikwara miiiiingi, cheo chenyewe V mbili tu, afya mgogoro!
Ahahaaaaa

Sent from my SM-G998B using JamiiForums mobile app
 
Nawasalimu kwa jina la jamhuri ya muungano?

KUna ndugu yangu alisema kataa kabisa urafiki na askari polisi. Naunga mkono hoja.

Mimi nasisititiza kama kichwa cha habari kinavyosema, tengeneza urafiki na askari wa mabakabaka, hawa watu wapo very humble, wana upendo na heshima katika jamii, japo wachache wanawaharibia.

Kuna ndugu yangu alikuwa ni fundi wa gereji za magari mkoa Fulani sio dar. Alikuwa anawatengenezea sana wanajeshi magari yao, ikafika kipindi wasipomkuta dogo wanamtafuta anaenda mpaka kambini kuchukua magari na anawatengenezea kwa uaminifu.

Siku moja katika viwanja vyake dogo vya starehe kuna polisi akamletea ubabe akampiga akaita wenzake wakaenda kumsweka ndani ishu ni ya wanawake.

Mimi napewa taarifa usiku saa5 na mtu aliyekuwepo mule ndani club dogo wamempga na wamemchukua, usiku huo huo nikavuta waya kwa jamaa mmoja mwanajeshi alikuwa anamkubali sana dogo, baba yake alikuwa mkubwa wa kambi katika huo mkoa,

Akaniuliza ilikuwaje nikamwambia kama nilivyoambiwa akaniambia ok tunakuja hapo, usiku saa5 inakimbilia saa6 wakaja wanajeshi watatu na yule jamaa wa nne.

Wakasema vaa twende kituoni, na gari mpaka kituoni wakafika reception wakasema tumekuja kumchukua mdogo wetu muda huu, polisi wakaanza hizo sio protocol dogo alikuwa analeta fujo, wakasema mkitaka pafungwe hapa leo huyo dogo msimtoe uone.

Ikabidi waende kumtoa selo usiku saa6, nimekaa mbali naogopa hapo, baada ya kumtoa jamaa akasema nitakutafuta, tukaondoka.


Nawapa hongera bakabaka wana nidhamu kubwa sana.bora urafiki na bakabaka.


Share kisa chako na bakabaka.
Kapicha kidogo kakusupport uzi ,tutofautishe bakabaka na hao wengine
 
Back
Top Bottom