tulia we pongo mjeshi akitoa boko akiingia selo anaakua mpole ila akiuziwa kesi ya kifala kama tunazouziwa sisi sijui uzururaji jua akipiga simu Moja tu tu kwa wanae vipongo lazima vijinyee
Kuna ex polis alinipa mkasa wake , kipind wapo doria za usiku wanaokota mandezi wakamzoa ba mwamba mmoja yuko na bag lake wakamtia pingu bag wakakata nalo wenyewe wakazaurura naye usiku kucha maana yeye alikua hawongei wengine wanatoa mpunga wanashushwa unapewa simu yako upigiwe ndugu zako waliweka marundo unashushwa alfajir kabak jamaa na walevi kadhaa wakapelekwa kituoni sasa kufungua bag la jamaa anakutana na gwanda zina nyota apo ndio walijua wamejipakata mkuu wa kituo ndio alikuja kuomba radhi kwa niaba ya wahuni wake, katika scenario kama hii usitegemee luten ataanza process za dhamana serikali ya mtaa akipiga simu kikosin kitakachofatia hapo ni west bank