Weka urafiki na wanajeshi (bakabaka) hutojutia

Weka urafiki na wanajeshi (bakabaka) hutojutia

bas ujapata kujua wajeda wanatendaga nini kwa vituo vya mapongo especially case iwe ni base less watu wanatolewaga lockup na makwenzi wanapigwa
Acha siasa za uongo wewe kima mara ngapi hao wanajeshi wanakamatwa na polisi wakiingia lock up wanalia tu mara ooh mtanifukuzisha kazi mara nini sijui..Wenzao wakija huja kwa upole na kuomba waondoke naye ili waende wakamchukulie hatua za kijeshi huko kambini(hapa huzingatiwa uzito wa kosa/jinai ndogo ndogo) makosa makubwa makubwa yote ya jinai yakifanywa na mwanajeshi hakuna kiongozi wa jeshi anaweza kuja kumuombea kituoni.


Huo ujinga wenu wa kudanganyana wafanyieni watoto wadogo,mwanajeshi ni mtu na polisi pia ni mtu(wote wana uzani sawa).

Hakuna pimbi yoyote anayeweza kutoa mtu kibabe akiwa lock up isipokuwa kwa mjibu wa sheria tu.

Mtu atakayeweza kuthubutu kufanya hivyo akiwa ni mtumishi basi anaweza hata kufutwa kazi au kukoma kupanda vyeo baada ya kushitakiwa.
 
Kama tito magoti alikuwa mwanaharakati alifanya kosa gani mpaka afichwe?

Na bado unasema haki na Sheria.
Kutolewa kwake ni sababu serikali ilitaka kuwaridhisha wananchi.

Mngepambana hayo mambo yasifike kwenye vyombo vya habari mkaona.

Tito inaonekana ni agizo la kutoka kwa wakubwa, ila ingekuwa kawaida angetoka.

Mwanasheria sema ukweli

Umezunguka ila umerudi palepale. Urafiki na watu wa vyombo vya ulinzi na usalama sio suluhisho. Taabu iko palepale. Naamini katika Haki na Sheria kuliko urafiki (kujipendekeza)
 
Acha siasa za uongo wewe kima mara ngapi hao wanajeshi wanakamatwa na polisi wakiingia lock up wanalia tu mara ooh mtanifukuzisha kazi mara nini sijui..Wenzao wakija huja kwa upole na kuomba ili waende wakamchukulia hatua za kijeshi huko kambini(jinai ndogo ndogo) makosa makubwa makubwa yote ya jinai yakifanywana mwanajeshi hakuna kiongozi wa jeshi anaweza kuja kumuombea kituoni.


Huo ujinga wenu wa kudanganyana wafanyieni watoto wadogo,mwanajeshi ni mtu na polisi pia ni mtu(wote wana uzani sawa).

Hakuna pimbi yoyote anayeweza kutoa mtu kibabe akiwa lock up isipokuwa kwa mjibu wa sheria tu.

Mtu atakayeweza kuthubutu kufanya hivyo akiwa ni mtumishi basi anaweza hata kufutwa kazi au kukoma kupanda vyeo baada ya kushitakiwa.

Waeleze ukweli.
 
Lakini jitahidi uelewe saikolojia ya wanajeshi, Kuna siku hutaamini kama anaekupa doso ndiyo mshikaji wako.

Mazoea ya hovyo, unamfuata jamaa mpaka kikosini, unaleta kiburi kwa askari wenzie. Atakugeuka dakika sifuri.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna uzi humu unachekesha balaa,

mmoja alikuwa anaenda kumtembelea bro wake kambini kila j,mosi, sasa j,mosi moja kaenda hajamkuta kawakuta wajeda wenzie[emoji3]

Wakamuuliza we hauna kazi??

maana kila weekend unakuja hapa, wakamwambia ahamishe tofali,,,,,,,kafika bro wake anashangaa dogo anabebavtofali na anakohamishia sipo[emoji3][emoji3][emoji3]

Dogo alivyomuona bro akajua atamwambia ache,


Bro akamwamhia dogo rudisha tofali ulikotoa[emoji3][emoji3]
 
Kijana unaishi bongo au wapi huko kituoni watu hawaongei na mbwa wanaongea na wenye mbwa, anapigiwa kiongozi na huyo kiongozi ndio atatoa amri kwa hao askari wa chini wamuachie mtuhumiwa, hii nchi iache kama ilivyo kama hujashuhudia haya lazima ubishe tu
Nikushauri kitu kijana,

Dark ages ilikuwa hata Ulaya toka zamani,hata
Ulaya kulikuwa na uchawi na mpka Serikali zilikuwa Zina sheria juu ya uchawi,Ulaya kulikuwa na ubabe wa watawala kupitiliza, People evolve, making changes,

Hivyo sisi Bado miaka ya 1800; ni wajibu wa jamii kuamka kuleta madiliko,fikra chanya Kwa jamii #Inawezekana

America mtu mweusi alisimama kumpisha mzungu akae kwenye siti,

Revolution is not like an apple when it's ripe will fall- Lazima mentality, attitude za watz zibadilike tusiwe watu wakuona hiki hakiwezekani,changes Start by you.
 
Kijana unaishi bongo au wapi huko kituoni watu hawaongei na mbwa wanaongea na wenye mbwa, anapigiwa kiongozi na huyo kiongozi ndio atatoa amri kwa hao askari wa chini wamuachie mtuhumiwa, hii nchi iache kama ilivyo kama hujashuhudia haya lazima ubishe tu
Kwa mujibu wa maelezo yake hakuna simu iliyopigwa kokote hao wanajeshi walienda kumtoa kwa fujo hapo lockup kitu ambacho hakiwezekani
 
Nawasalimu kwa jina la jamhuri ya muungano?

KUna ndugu yangu alisema kataa kabisa urafiki na askari polisi. Naunga mkono hoja.

Mimi nasisititiza kama kichwa cha habari kinavyosema, tengeneza urafiki na askari wa mabakabaka, hawa watu wapo very humble, wana upendo na heshima katika jamii, japo wachache wanawaharibia.

Kuna ndugu yangu alikuwa ni fundi wa gereji za magari mkoa Fulani sio dar. Alikuwa anawatengenezea sana wanajeshi magari yao, ikafika kipindi wasipomkuta dogo wanamtafuta anaenda mpaka kambini kuchukua magari na anawatengenezea kwa uaminifu.

Siku moja katika viwanja vyake dogo vya starehe kuna polisi akamletea ubabe akampiga akaita wenzake wakaenda kumsweka ndani ishu ni ya wanawake.

Mimi napewa taarifa usiku saa5 na mtu aliyekuwepo mule ndani club dogo wamempga na wamemchukua, usiku huo huo nikavuta waya kwa jamaa mmoja mwanajeshi alikuwa anamkubali sana dogo, baba yake alikuwa mkubwa wa kambi katika huo mkoa,

Akaniuliza ilikuwaje nikamwambia kama nilivyoambiwa akaniambia ok tunakuja hapo, usiku saa5 inakimbilia saa6 wakaja wanajeshi watatu na yule jamaa wa nne.

Wakasema vaa twende kituoni, na gari mpaka kituoni wakafika reception wakasema tumekuja kumchukua mdogo wetu muda huu, polisi wakaanza hizo sio protocol dogo alikuwa analeta fujo, wakasema mkitaka pafungwe hapa leo huyo dogo msimtoe uone.

Ikabidi waende kumtoa selo usiku saa6, nimekaa mbali naogopa hapo, baada ya kumtoa jamaa akasema nitakutafuta, tukaondoka.


Nawapa hongera bakabaka wana nidhamu kubwa sana.bora urafiki na bakabaka.


Share kisa chako na bakabaka.
SUBIRI UGONGEWE.

utarudi tena hapa.
 
Kwa mujibu wa maelezo yake hakuna simu iliyopigwa kokote hao wanajeshi walienda kumtoa kwa fujo hapo lockup kitu ambacho hakiwezekani

Hivi mbona mnaongea mambo kirahisi sana, hao polisi wenyewe ukijifanya kuzijua sheria na haki zako wanakuambia "okay wewe si unajifanya mjuaji sasa utaozea humu", sasa unafikiri hapo kama huna nguvu ya ziada kama pesa au connection unafanyaje
Acha uoga dogo kwenye vitu vya msingi; utakuja lipia hadi barabara upite, drop that mentality,Kila mtu akiwa kama wewe hii nchi itazidi kuingia shimoni
 
Nikushauri kitu kijana,

Dark ages ilikuwa hata Ulaya toka zamani,hata
Ulaya kulikuwa na uchawi na mpka Serikali zilikuwa Zina sheria juu ya uchawi,Ulaya kulikuwa na ubabe wa watawala kupitiliza, People evolve, making changes,

Hivyo sisi Bado miaka ya 1800; ni wajibu wa jamii kuamka kuleta madiliko,fikra chanya Kwa jamii #Inawezekana

America mtu mweusi alisimama kumpisha mzungu akae kwenye siti,

Revolution is not like an apple when it's ripe will fall- Lazima mentality, attitude za watz zibadilike tusiwe watu wakuona hiki hakiwezekani,changes Start by you.
Till then, what we are saying now is the reality, thanks
 
Kuna uzi humu unachekesha balaa,

mmoja alikuwa anaenda kumtembelea bro wake kambini kila j,mosi, sasa j,mosi moja kaenda hajamkuta kawakuta wajeda wenzie[emoji3]

Wakamuuliza we hauna kazi??

maana kila weekend unakuja hapa, wakamwambia ahamishe tofali,,,,,,,kafika bro wake anashangaa dogo anabebavtofali na anakohamishia sipo[emoji3][emoji3][emoji3]

Dogo alivyomuona bro akajua atamwambia ache,


Bro akamwamhia dogo rudisha tofali ulikotoa[emoji3][emoji3]
Naomba link nikacheke
Hao watu wanapenda kukomoa ukiwaingia vibaya.
 
Askari yoyote kataa urafiki nae
Awe wakuda Polisi
Awe wanoko JW
Awe wanaojidai Immigration
Awe lolote na liwe Magereza
Awe na thithi ni jeshi Zimamoto
Au Mgambo.
Ongezea Tutakukula Takukuru hao
ThiThi ni Sisi Tiss hao
Wazee wa makato Tra

Utakuja kunishukuru, hawapo tayari kupoteza nafasi zao au sifa za Taasisi zao kwa ajili yako.
Sina urafiki na
1. Polisi
2. TISS
3. TRA
4. TAKUKURU

Hata kama tutajua ni ile ya kusalimiana juu Kwa juu ila SITAKI URAFIKI NAO KABISAAAA

#YNWA
 
makamanda hawanaga kwere ila hawa raia wakakamavu anaweza akawa mwanao akukuuza kwa mapimbi wenzie wakupige maokoto
Polis (Hasa Afisa upelelezi) mkoa Simiyu sitowasahau kwa uhuni/ wizi/ unyang'anyi/ ukatili wao.
Niliona ujambazi wa polisi, Simiyu jamani. Wameunda umojawa wizi wakishirikiana na ofisi ya mwendesha mashtaka, mahakama na baadhi ya mawakili. Nilishuhudia watuhumiwa wakifichwa wakubwa zao wanapokuja kuwakagua....
Jeshi la polisi liundiwe chombo cha kulitazama....
 
Askari yoyote kataa urafiki nae
Awe wakuda Polisi
Awe wanoko JW
Awe wanaojidai Immigration
Awe lolote na liwe Magereza
Awe na thithi ni jeshi Zimamoto
Au Mgambo.
Ongezea Tutakukula Takukuru hao
ThiThi ni Sisi Tiss hao
Wazee wa makato Tra

Utakuja kunishukuru, hawapo tayari kupoteza nafasi zao au sifa za Taasisi zao kwa ajili yako.
Hata chinga hayupo tayari kaka dunia uwanja wa fujo?
 
Simu itapigwa endapo hakuna mkubwa kwenye kituo kwa wakati huo so huenda wao walimkuta mkubwa kwenye hiko kituo ndio maana hawakutaka mambo mengi, haya mambo yapo mkuu msibishe hatutetei wanajeshi ila hata hao polisi wenyewe hawafuati sheria, wanatumia ubabe kwa raia hivyo na walioko juu yao nao wanatumia ubabe kwao maana kwa nchi yetu jwtz ndio jeshi senior na superior
Hakuna njia yoyote ya kibabe kwa kutumia nguvu unayoweza kwenda kumtoa mtu kituo cha polisi labda uvamie na bunduki uwauwe askari ufungue lockup uondoke na mtu wako na siyo vinginevyo, ni kweli hata polisi hawatendi haki lakini hakuna namna unaweza kwenda kumtoa mtu kibabe , njia rahisi ni kufanya mazungumzo au kufata hatua za kisheria ili huyo mtu apate haki yake na siyo kwenda kupiga mkwara hutoboi
 
Nawasalimu kwa jina la jamhuri ya muungano?

KUna ndugu yangu alisema kataa kabisa urafiki na askari polisi. Naunga mkono hoja.

Mimi nasisititiza kama kichwa cha habari kinavyosema, tengeneza urafiki na askari wa mabakabaka, hawa watu wapo very humble, wana upendo na heshima katika jamii, japo wachache wanawaharibia.

Kuna ndugu yangu alikuwa ni fundi wa gereji za magari mkoa Fulani sio dar. Alikuwa anawatengenezea sana wanajeshi magari yao, ikafika kipindi wasipomkuta dogo wanamtafuta anaenda mpaka kambini kuchukua magari na anawatengenezea kwa uaminifu.

Siku moja katika viwanja vyake dogo vya starehe kuna polisi akamletea ubabe akampiga akaita wenzake wakaenda kumsweka ndani ishu ni ya wanawake.

Mimi napewa taarifa usiku saa5 na mtu aliyekuwepo mule ndani club dogo wamempga na wamemchukua, usiku huo huo nikavuta waya kwa jamaa mmoja mwanajeshi alikuwa anamkubali sana dogo, baba yake alikuwa mkubwa wa kambi katika huo mkoa,

Akaniuliza ilikuwaje nikamwambia kama nilivyoambiwa akaniambia ok tunakuja hapo, usiku saa5 inakimbilia saa6 wakaja wanajeshi watatu na yule jamaa wa nne.

Wakasema vaa twende kituoni, na gari mpaka kituoni wakafika reception wakasema tumekuja kumchukua mdogo wetu muda huu, polisi wakaanza hizo sio protocol dogo alikuwa analeta fujo, wakasema mkitaka pafungwe hapa leo huyo dogo msimtoe uone.

Ikabidi waende kumtoa selo usiku saa6, nimekaa mbali naogopa hapo, baada ya kumtoa jamaa akasema nitakutafuta, tukaondoka.


Nawapa hongera bakabaka wana nidhamu kubwa sana.bora urafiki na bakabaka.


Share kisa chako na bakabaka.
Dah! Nidhamu ya kutishia polisi? Nidhamu ya kuvunja protokali? Subiri wakati ukifika ndio utajua hujui. Urafiki na wanausalama ndio ila uwe wa kimkakati sana.
 
Kijana unaishi bongo au wapi huko kituoni watu hawaongei na mbwa wanaongea na wenye mbwa, anapigiwa kiongozi na huyo kiongozi ndio atatoa amri kwa hao askari wa chini wamuachie mtuhumiwa, hii nchi iache kama ilivyo kama hujashuhudia haya lazima ubishe tu
Umenikumbusha tukio moja la zamani kidogo enzi za jk, mdogo wake na rafiki yangu aliwekwa lock up kimakosa jamaa kwenda kumdhamini/kumtoa askari akaomba rushwa ya laki 2 na nusu, jamaa akaomba apunguziwe atoe 150k, askari akagomea kwenye 200k, jamaa akaondoka. Baadaye rafiki yake akamuunganisha na mkuu wa kituo.
Jamaa alipo obama na mkuu wa kituo na kumweleza akapiga simu dogo akatolewa. Mshikaji akampa mkuu wa kituo sh. 50,000/- tu.
 
Na nikwambie kitu,Wanajeshi wa sahivi wana Akili very Smart sana na wanafundishwa nidhamu ya hali ya juu,Mimi na washikaji kibao huko sasa Fanya Ujinga wako mtaani mwambie atakwambia kabisa fuata sheria umekosea.
Binafsi pia siungi mkono mkosaji. Kila mtu awajibike kwa makosa yake, lkn masada unatakiwa kupewa anaye onewa na polisi. Niseme pia polisi hawaonei mwenye back up, elewa neno back up.
 
Bado hujatoa suluhisho, mfano kijana tu wa mtaani kakamatwa bila kosa na hana pesa wala connection anafanyaje kutoka ndani, pengine anaweza kuwa anazijua sheria na haki zake niambie anazitumiaje hapo ili wamuachie bila kumdhuru
Nacho jua dhamana ni bure, ukikamatwa kawaida bila influence or interest ya Viongozi,kusota kituo Cha polisi ni Uzembe
Binafsi pia siungi mkono mkosaji. Kila mtu awajibike kwa makosa yake, lkn masada unatakiwa kupewa anaye onewa na polisi. Niseme pia polisi hawaonei mwenye back up, elewa neno back up.
Point yangu si Back Up, Point yangu tunatakiwa kutoka zama za Manyani-(Animal Farm life)

Jamii yakutendeana haki bila kujari nafasi ya mtu kwenye jamii either tajiri au masikini hii ndo culture inayotakiwa kuijijenga Kwa watanzani more civilized society,na hii inawezekana kama Kila mtanzania atajua haki na wajibu na Sheria nakusimama kurinda haki ya jirani yake bila woga
 
Back
Top Bottom