Fintan20
JF-Expert Member
- Dec 17, 2023
- 213
- 556
- Thread starter
- #141
Rudi kasome post #112Ni ndugu zetu hao na urafiki nao ni SAWA ni binadamu kama sisi.Ila don't take things for granted.Toa Ujinga nyie ndo Wala ukigombana na mtu unatishia watu na kaka mwanajeshi namuita acha Ujinga huo.
Tulia fuatilia kwa makini.