Weka utabiri wako hapa wa mechi ya marudiano wiki chache zijazo kati Raja Casablanca ya Morocco vs Simba ya Tanzania

Weka utabiri wako hapa wa mechi ya marudiano wiki chache zijazo kati Raja Casablanca ya Morocco vs Simba ya Tanzania

Nichukue nafasi hii kuwashukuru wadau wote wa michezo mliochangia mwenye huu uzi. Kama mnavyo ona hapo juu; washindi wetu wamepatikana. Na naomba kuhiyimisha kwa kusema; thread closed ✍️
 
Nichukue nafasi hii kuwashukuru wadau wote wa michezo mliochangia mwenye huu uzi. Kama mnavyo ona hapo juu; washindi wetu wamepatikana. Na naomba kuhiyimisha kwa kusema; thread closed [emoji3578]
Kidogo kabla ya kufunga uzi;

Napenda sana kufahamu malengo hasa tena yale ya ndani kabisa ya kuanzishwa huu uzi yalikuwa yapi?
 
Kidogo kabla ya kufunga uzi;

Napenda sana kufahamu malengo hasa tena yale ya ndani kabisa ya kuanzishwa huu uzi yalikuwa yapi?
Kwani si tulikubaliana kwa kauli moja ya kwamba simba ni timu kubwa! Sasa kulikuwa na shida gani pale tulipoweka huu uzi!! Maana ilikuwa inakutana na timu kubwa nyingine Barani Afrika.
 
Back
Top Bottom