Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tusaidie kidogo hapo hesabu. NUSU ya goli 13 ndio goli ngapi hizo?Simba haijawahi kufungwa hata nusu ya hizo goli na timu yoyote ile hapa duniani. Lakini naheshimu utabiri wako.
Basi kama ni hivyo ni sawa. Ila kwa kuweka kumbukumbu sawa Simba wameshawahi kufungwa hizo goli 6 ila sio kwa bila ni 6-1 kwenye mechi za kirafiki.6 na 7 ndiyo majibu sahihi.
Kibu D ni mchezaji pekee pale zimbaz ambaye akifunga wanazimba wanachukia na asipofunga pia wanachukia. 😄😄Na wafungaji wa hayo magoli kama kawaida; watakuwa ni Chama, Baleke na Kibu D.
Mazembe hawa waliofungwq na kutoleqa vipers(wababe wa utopolo)club bingwa na kuja kucheza kombe la maluza na utopwinyo? Hauko siriaz mgosiMbona unachanganya madesa!! Raja anacheza na Makolo! Utopolo atakuwa ana jambo lake dhidi ya timu kubwa kabisa Barani Afrika; Tp Mazembe kule DRC.
all eyes on us..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Utopolo bhana, hamuishi kutuwaza
Hao hao ambao wanakunyanyasa kila sikuMazembe hawa waliofungwq na kutoleqa vipers(wababe wa utopolo)club bingwa na kuja kucheza kombe la maluza na utopwinyo? Hauko siriaz mgosi