Weka utabiri wako hapa wa mechi ya marudiano wiki chache zijazo kati Raja Casablanca ya Morocco vs Simba ya Tanzania

Weka utabiri wako hapa wa mechi ya marudiano wiki chache zijazo kati Raja Casablanca ya Morocco vs Simba ya Tanzania

Usiichukulie poa poa! Simba ya dakika za mwisho ilibadilika sana. Na matunda yake wameonekana kwenye mechi zote zilizofuata baada ya kupigwa zile 3 na hao Waarabu.
Huna baya mkuu.. hata kama hayatoki moyoni ila ndo ukweli wenyewe...
Huo ndo ukweliiiiiiiiiiii
 
Karibuni wadau wote wa michezo kutabiri matokeo ya huu mchezo wa marudiano kati ya hizi timu mbili kubwa kabisa Barani Afrika; Raja Casablanca ya Morocco vs Simba ya Tanzania.

Ikumbukwe timu zote mbili tayari zimeshafuzu hatua inayofuata ya robo fainali, Kombe la Klabu Bingwa Afrika. Na katika mechi zao za mwisho kucheza, Simba akiwa nyumbani, aliifunga Horoya goli 7-0! Huku Raja Casablanca akiwa ugenini Uganda, alipata sare ya 1-1 na wenyeji Vipers.

Kwa nini nimechukua nafasi hii nyeti kabisa kuwakaribisha wadau wenzangu wa michezo, kubashiri huu mchezo? Ni kutokana na kiwango bora kabisa walichokionesha Raja Casablanca tangu mwanzo kwenye hii hatua ya makundi, kiasi cha kutopoteza mchezo wao hata mmoja mpaka sasa. (Na ndiyo wamebiwa na hii mechi ya mwisho dhidi ya Simba)

Lakini sababu ya pili imetokana na kiwango walichokionesha Simba siku za hivi karibuni dhidi ya wapinzani wake kwenye haya mashindano! Mfano Simba ilimfunga Vipers nyumbani na ugenini, halafu ikamfunga tena Horoya goli 7-0 pale kwa Mkapa! Imgine Tripple C alipiga hat trick! Putin akapiga 2! Baleke naye akapiga 2!! What a performance!

Nisiwapotezee muda! Binafsi utabiri wangu unaenda kwa simba! Naamini kwenye hiyo mechi yao ya marudio kule Morocco, watampiga Mwarabu goli 3-0 katika uwanja wake wa nyumbani. Yaani kama walifanya Yanga vile kwa ile Club Africains ya Tunisia. Na wafungaji wa hayo magoli kama kawaida; watakuwa ni Chama, Baleke na Kibu D.

Vipi na wewe kuhusu utabiri wako? Na ifahamike pia unapobashiri, kuna kupatia! Lakini pia kuna kuchanika kwa mkeka. Hivyo asitokee mtu baadaye wa kuja kumkamata mwenzake uchawi hapa! Nadhani wazee wa mikeka wamenielewa vizuri.

Nani ni nani kati ya Raja Casablanca vs Simba wiki kadhaa kutoka sasa?

Karibuni wadau wenzangu wote wa mpira wa miguu.
Utabiri wako ukitimia itakuwa bomba sana maana itasaidia kubalansi uzi wa takwimu mimi kama fan wa Kibu nitakwenda kuweka rekodi sawa katika uzi wetu wa takwimu.
 
Raja 3 simba 1
Karibuni wadau wote wa michezo kutabiri matokeo ya huu mchezo wa marudiano kati ya hizi timu mbili kubwa kabisa Barani Afrika; Raja Casablanca ya Morocco vs Simba ya Tanzania.

Ikumbukwe timu zote mbili tayari zimeshafuzu hatua inayofuata ya robo fainali, Kombe la Klabu Bingwa Afrika. Na katika mechi zao za mwisho kucheza, Simba akiwa nyumbani, aliifunga Horoya goli 7-0! Huku Raja Casablanca akiwa ugenini Uganda, alipata sare ya 1-1 na wenyeji Vipers.

Kwa nini nimechukua nafasi hii nyeti kabisa kuwakaribisha wadau wenzangu wa michezo, kubashiri huu mchezo? Ni kutokana na kiwango bora kabisa walichokionesha Raja Casablanca tangu mwanzo kwenye hii hatua ya makundi, kiasi cha kutopoteza mchezo wao hata mmoja mpaka sasa. (Na ndiyo wamebiwa na hii mechi ya mwisho dhidi ya Simba)

Lakini sababu ya pili imetokana na kiwango walichokionesha Simba siku za hivi karibuni dhidi ya wapinzani wake kwenye haya mashindano! Mfano Simba ilimfunga Vipers nyumbani na ugenini, halafu ikamfunga tena Horoya goli 7-0 pale kwa Mkapa! Imgine Tripple C alipiga hat trick! Putin akapiga 2! Baleke naye akapiga 2!! What a performance!

Nisiwapotezee muda! Binafsi utabiri wangu unaenda kwa simba! Naamini kwenye hiyo mechi yao ya marudio kule Morocco, watampiga Mwarabu goli 3-0 katika uwanja wake wa nyumbani. Yaani kama walifanya Yanga vile kwa ile Club Africains ya Tunisia. Na wafungaji wa hayo magoli kama kawaida; watakuwa ni Chama, Baleke na Kibu D.

Vipi na wewe kuhusu utabiri wako? Na ifahamike pia unapobashiri, kuna kupatia! Lakini pia kuna kuchanika kwa mkeka. Hivyo asitokee mtu baadaye wa kuja kumkamata mwenzake uchawi hapa! Nadhani wazee wa mikeka wamenielewa vizuri.

Nani ni nani kati ya Raja Casablanca vs Simba wiki kadhaa kutoka sasa?

Karibuni wadau wenzangu wote wa mpira wa miguu.
 
Simba haijawahi kufungwa hata nusu ya hizo goli na timu yoyote ile hapa duniani. Lakini naheshimu utabiri wako.
Unasemaje???
JamiiForums-1417644808.jpg
 
Huna baya mkuu.. hata kama hayatoki moyoni ila ndo ukweli wenyewe...
Huo ndo ukweliiiiiiiiiiii
Kwenye huu uzi naongea kama mdau wa michezo. Hivyo uwe na amani tele. Haya ninayosema, yanatoka moyoni. Ukiweka nia ya dhati katika jambo, hakuna kitakacho shindikana.
 
Back
Top Bottom