Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanini usingezungumzia game yenu na Mazembe pale Lubumbashi?Mtani, nikutake radhi tena! Hii mada nimeileta kama mdau wa michezo! Na siyo kama shabiki wa timu fulani. Hivyo kila anayetoa utabiri wake, anatakiwa atoe na facts!
Ile juzi simba walibahatisha tu kibonde waoLakini unafahamu mechi mwisho Simba kampiga mtu 7-0! Huoni na Mwarabu naye anaweza kwenda kupigwa 7 nyumbani kwake?
Siku yenyewe ya tukio ikifika, nitakufafanulia zaidi.Tafadhali Mama, hebu utufafanulie hii kauli yako inaanisha nini!! Maana sisi wengine tulisoma elimu ya kuungaunga.
Kwani si tulikubaliana hizi timu zinashiriki Kombe la Ma Loosers! Sasa kuna umuhimu gani wa kuzijadili? Huu uzi ni kwa ajili ya timu zinazoshiriki Klabu Bingwa bhana.Kwanini usingezungumzia game yenu na Mazembe pale Lubumbashi?
Ngoja nikuweke kiporo kwanza, tutakutana hiyo siku ...
Umeongea kwakufanya tathmini au kiushabiki kufurahisha genge mkuu?Kama Raja hajashida 8-0 niulizwe mimi
Mbona kauli tata hii?🤔Hatutakaa kikao wala kuamua...
Tutasafirisha...
Huu uzi una lengo la kubashiri tu matokeo. Na hitimisho lake ni hiyo siku ya mechi husika. Hivyo unakaribishwa kutoa maoni yako.Wangaaaaaa