Weka utabiri wako kuelekea mbugi la karne kati ya TP Mazembe vs Dar es Salaam Young Africans hapo kesho

Weka utabiri wako kuelekea mbugi la karne kati ya TP Mazembe vs Dar es Salaam Young Africans hapo kesho

Kilimbatzz

JF-Expert Member
Joined
Feb 11, 2023
Posts
9,134
Reaction score
14,593
Kesho ndo kesho asemaye Leo ni mwongo,

Hapo kesho ndaani ya dimba la Stade de TP Mazembe linaenda kupigwa mbugi la karne huku miamba ya Tanzania iliyoshindikanika Kwa mpira,fedha na kamati za ufundi wanaenda kukiwasha hapo kesho

Kwa za chini chini nilizopenyewe na rafiki pale Lubumbashi Le Preprofesseur Jean-Paul Marc kuwa Les Corbeaux wanaomba mechi ihairishwe kwani wanakhofia kipigo kitakatifu zaidi kile alichopata mtoto wetu mtukutu tuliyemzaa wenyewe usiku huu pale Uarabuni maana nasikia kama isingekuwa swaumu na huruma ya mwezi mtukufu wa Ramadhani walikuwa wamepanga kuwapiga wiki jumlisha siku moja

Wakuu karibu I muweke utabiri wenu



NB:
Kwa sababu za kiplomasia na kiundugu kati yetu na Kongo nawaomba wananchi wasifunge magoli mengi sana

Nadhani tukiwafunga 3-1 zinawatosha

Ebu tupia na wewe utabiri wako hapo chini
 
Mbona hujataja aina ya mashindano mnayoshiriki [emoji1787][emoji1787]
 
Hii nchi bhana...

Eti mabingwa wa nchi wanaiwakilisha nchi kwenye mashindano ya Maluza


Afu wasio mabingwa wanaiwakilisha nchi kwenye mashindano ya Mabingwa....

RIP Meko....
 
Back
Top Bottom