Kilimbatzz
JF-Expert Member
- Feb 11, 2023
- 9,134
- 14,593
- Thread starter
- #21
Sawa weka utabiri basiUtabiri wangu uko kwenye ligi za mabingwa. Haya mashindano ya shule za kata yeyote anaweza kushinda mtihani....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa weka utabiri basiUtabiri wangu uko kwenye ligi za mabingwa. Haya mashindano ya shule za kata yeyote anaweza kushinda mtihani....
Asante mkuu,kama hautojali basi aandika kabisa ni ngapi ngapiyanga anauwezo wa kushinda vizuri sana
Kama umeumia, kuwa na wewe Bingwa basi kama ni rahisi kiasi hicho na hao wachezaji wenu wazee.Hii nchi bhana...
Eti mabingwa wa nchi wanaiwakilisha nchi kwenye mashindano ya Maluza
Afu wasio mabingwa wanaiwakilisha nchi kwenye mashindano ya Mabingwa....
RIP Meko....
Mabingwa tuna ligi yetu.Kama umeumia, kuwa na wewe Bingwa basi kama ni rahisi kiasi hicho na hao wachezaji wenu wazee.
Mshindi atakuwa aliyeacha kuvaa bikiniSawa weka utabiri basi
Tupa Wazembe,tunawapiga kama ngoma kama kawaida yetu,kama tumewakalisha waarabu,tuwaache Wazembeee😂Kesho ndo kesho asemaye Leo ni mwongo,
Hapo kesho ndaani ya dimba la Stade de TP Mazembe linaenda kupigwa mbugi la karne huku miamba ya Tanzania iliyoshindikanika Kwa mpira,fedha na kamati za ufundi wanaenda kukiwasha hapo kesho
Kwa za chini chini nilizopenyewe na rafiki pale Lubumbashi Le Preprofesseur Jean-Paul Marc kuwa Les Corbeaux wanaomba mechi ihairishwe kwani wanakhofia kipigo kitakatifu zaidi kile alichopata mtoto wetu mtukutu tuliyemzaa wenyewe usiku huu pale Uarabuni maana nasikia kama isingekuwa swaumu na huruma ya mwezi mtukufu wa Ramadhani walikuwa wamepanga kuwapiga wiki jumlisha siku moja
Wakuu karibu I muweke utabiri wenu
NB:
Kwa sababu za kiplomasia na kiundugu kati yetu na Kongo nawaomba wananchi wasifunge magoli mengi sana
Nadhani tukiwafunga 3-1 zinawatosha
Ebu tupia na wewe utabiri wako hapo chini
Africa confederation🏆Ni mashindano yepi hayo ndugu mleta uzi ?
Kwan wewe huko si umepeleka msambwanda tuKwa lipi haswa, yani niwaonee wivu losers
mazembe atakula 4-2Kesho ndo kesho asemaye Leo ni mwongo,
Hapo kesho ndaani ya dimba la Stade de TP Mazembe linaenda kupigwa mbugi la karne huku miamba ya Tanzania iliyoshindikanika Kwa mpira,fedha na kamati za ufundi wanaenda kukiwasha hapo kesho
Kwa za chini chini nilizopenyewe na rafiki pale Lubumbashi Le Preprofesseur Jean-Paul Marc kuwa Les Corbeaux wanaomba mechi ihairishwe kwani wanakhofia kipigo kitakatifu zaidi kile alichopata mtoto wetu mtukutu tuliyemzaa wenyewe usiku huu pale Uarabuni maana nasikia kama isingekuwa swaumu na huruma ya mwezi mtukufu wa Ramadhani walikuwa wamepanga kuwapiga wiki jumlisha siku moja
Wakuu karibu I muweke utabiri wenu
NB:
Kwa sababu za kiplomasia na kiundugu kati yetu na Kongo nawaomba wananchi wasifunge magoli mengi sana
Nadhani tukiwafunga 3-1 zinawatosha
Ebu tupia na wewe utabiri wako hapo chini
WoyoooooTupa Wazembe,tunawapiga kama ngoma kama kawaida yetu,kama tumewakalisha waarabu,tuwaache Wazembeee😂
Utabiri mzurimazembe atakula 4-2
AahaaaaaaMshindi atakuwa aliyeacha kuvaa bikini
Ebu nijibie wewe ilo swali mkuuNi mashindano yepi hayo ndugu mleta uzi ?
Makolo wanakonda sanaUtopolo watateseka sana
Aahaahhaahj,sawa mkuu4 tuwalipie hawa dada zetu za kipind kile