Weka utabiri wako kuelekea mbugi la karne kati ya TP Mazembe vs Dar es Salaam Young Africans hapo kesho

Hii nchi bhana...

Eti mabingwa wa nchi wanaiwakilisha nchi kwenye mashindano ya Maluza


Afu wasio mabingwa wanaiwakilisha nchi kwenye mashindano ya Mabingwa....

RIP Meko....
Kama umeumia, kuwa na wewe Bingwa basi kama ni rahisi kiasi hicho na hao wachezaji wenu wazee.
 
Tupa Wazembe,tunawapiga kama ngoma kama kawaida yetu,kama tumewakalisha waarabu,tuwaache Wazembeee😂
 
mazembe atakula 4-2
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…