bahati93
JF-Expert Member
- Aug 6, 2015
- 1,334
- 2,463
Wanajamii,
Leo nafanya kuwakumbusha tu, siku hazigandi huku mbeleni miaka mia ijao kizazi cha wakati huo kitakuwa na fikra tofauti sana na zetu. Hivyo basi nyie watu ambao akili zenu mmezifanya mgando, hazishauriki na kubadilika ili kwenda na wakati. mtachekwa sana. Maana kwa wakati huo history itawakumbuka kwa jinsi mlivyokuwa watu wenye mawazo ya kale.
Ipo hivi, kama ambavyo baathi yetu tunavyoona uduni wa kimawazo kwa wazee ambao walikuwa hawataki mwanamke asome, afanye kazi, awe na pesa zake, ndivyo hivyo hivyo tutakavyoonekana kwenye maswala kama dini, msimamo kuhusu mapenzi, ukabila.
Huko mbeleni hizi data tunazoziacha mtandaoni kutakuwa na watu kazi yao special ni kuzisoma kuzifwatilia na kuzidadavua. Hivyo kuna baathi ya watu mtakuwa case study kama ambavyo Hilter na wengine wanavyosomwa nanyi mtakuwa hivyo hivyo.
Shida kubwa tuliyonayo wanadamu hatuwezi kujua mambo yote kwa wakati mmoja hivyo mara nyingi tunakuwa. Tumeshapitwa na wakati pasipo kujua.
Leo nafanya kuwakumbusha tu, siku hazigandi huku mbeleni miaka mia ijao kizazi cha wakati huo kitakuwa na fikra tofauti sana na zetu. Hivyo basi nyie watu ambao akili zenu mmezifanya mgando, hazishauriki na kubadilika ili kwenda na wakati. mtachekwa sana. Maana kwa wakati huo history itawakumbuka kwa jinsi mlivyokuwa watu wenye mawazo ya kale.
Ipo hivi, kama ambavyo baathi yetu tunavyoona uduni wa kimawazo kwa wazee ambao walikuwa hawataki mwanamke asome, afanye kazi, awe na pesa zake, ndivyo hivyo hivyo tutakavyoonekana kwenye maswala kama dini, msimamo kuhusu mapenzi, ukabila.
Huko mbeleni hizi data tunazoziacha mtandaoni kutakuwa na watu kazi yao special ni kuzisoma kuzifwatilia na kuzidadavua. Hivyo kuna baathi ya watu mtakuwa case study kama ambavyo Hilter na wengine wanavyosomwa nanyi mtakuwa hivyo hivyo.
Shida kubwa tuliyonayo wanadamu hatuwezi kujua mambo yote kwa wakati mmoja hivyo mara nyingi tunakuwa. Tumeshapitwa na wakati pasipo kujua.