Wekeni mambo wazi, ujenzi wa Ikulu Chamwino ni kazi nzuri ya hayati Magufuli, angekuwepo hata bandari ingeendelezwa na JKT bila DP World

Wekeni mambo wazi, ujenzi wa Ikulu Chamwino ni kazi nzuri ya hayati Magufuli, angekuwepo hata bandari ingeendelezwa na JKT bila DP World

Nyankurungu2020

JF-Expert Member
Joined
Oct 2, 2020
Posts
4,170
Reaction score
6,757
Miundo mbinu ya bandari ni cranes, na kuwa na gati za kisasa. Hili halihitaji mwarabu kupewa kwa nguvu hata JKT wangepata utalaamu kutoka China wqngefunga cranes za kisasa na kuwezesha ufanisi.

Hii ya Ikulu Chamwino msitie Chumvi za uongo aliyepambana ni hayati. Vinginevyo wangejenga hata waarabu wa dubai
20230710_031802.jpg
 
Hongera JKT....mmewasahau kuwaalika wastaafu wengi sana wenye mchongo kwenye Jeshi na JKT......kumbukeni waliofikisha jeshi hapo
 
Miundo mbinu ya bandari ni cranes, na kuwa na gati za kisasa. Hili halihitaji mwarabu kupewa kwa nguvu hata JKT wangepata utalaamu kutoka China wqngefunga cranes za kisasa na kuwezesha ufanisi.

Hii ya Ikulu Chamwino msitie Chumvi za uongo aliyepambana ni hayati. Vinginevyo wangejenga hata waarabu wa dubaiView attachment 2683518
Ubora wa ile kazi ni changamoto
 
Aisee we ni lofa sijapata kuona unadhani kuiboresha hiyo bandari ni sawa na kujenga madarasa ya uviko? Eti ingeendelezwa na JKT
 
Miundo mbinu ya bandari ni cranes, na kuwa na gati za kisasa. Hili halihitaji mwarabu kupewa kwa nguvu hata JKT wangepata utalaamu kutoka China wqngefunga cranes za kisasa na kuwezesha ufanisi.

Hii ya Ikulu Chamwino msitie Chumvi za uongo aliyepambana ni hayati. Vinginevyo wangejenga hata waarabu wa dubaiView attachment 2683518
kamfuate kuzimu we kenge. Unatuleta habari za mfu sisi ni wafu? Alijenga ikulu akiwa kaburini? Mbona uko zuzu hivyo? Ikulu imejengwa na watanzania yeye alianzisha ujenzi km kiongozi wa serikali, kiongozi alifuatia ndio ali-play nafasi kubwa sana kuijenga.
 
Aisee we ni lofa sijapata kuona unadhani kuiboresha hiyo bandari ni sawa na kujenga madarasa ya uviko? Eti ingeendelezwa na JKT
Wazo lake sio baya. Serikali inaweza kuijengea uwezo jkt kidogokidogo ili ifike wakati waweze kufanya miradi mikubwa mchini kwa maslahi ya Taifa. Mataifa makubwa kama Marekani na China project nyingi kubwa zinaendeshwa na Jeshi kwa muavuli wa kampuni za kiraia, na hata zingine zimeshava mipaka. Hata Egypt kuna miradi mikibwa sana nilishangaa kuambiwa ni ya jeshi.
Wenzetu wanazingatia sana masuala ya Usalama wa Taifa.
Nilishawahi kusikia kuwa hata kampuni ya Barrick Gold Mine sio ya watu binafsi kama inavyoonekana kwa nje bali ni kampuni ya kitengo huko kwao na ndio maana hata kipindi cha mgogoro wa makanikia ilikuja team ya majadiliano iliyoongozwa na kanali mstaafu
 
Miundo mbinu ya bandari ni cranes, na kuwa na gati za kisasa. Hili halihitaji mwarabu kupewa kwa nguvu hata JKT wangepata utalaamu kutoka China wqngefunga cranes za kisasa na kuwezesha ufanisi.

Hii ya Ikulu Chamwino msitie Chumvi za uongo aliyepambana ni hayati. Vinginevyo wangejenga hata waarabu wa dubaiView attachment 2683518
Ndo tatizo la wachunga ng'ombe.

Unadhani bandari ni kama choo kila mtu anaweza kujenga eeeh?
 
Miundo mbinu ya bandari ni cranes, na kuwa na gati za kisasa. Hili halihitaji mwarabu kupewa kwa nguvu hata JKT wangepata utalaamu kutoka China wqngefunga cranes za kisasa na kuwezesha ufanisi.

Hii ya Ikulu Chamwino msitie Chumvi za uongo aliyepambana ni hayati. Vinginevyo wangejenga hata waarabu wa dubaiView attachment 2683518
Upuuzi,Bandarini hapo si alijaza wanajeshi na ma Tiss wake lakini upigaji ukawa kama Kawa?

Tofauti ya Magufuli na Samia ni akili ndio maana Kwa miaka 6 Magufuli kawapa TRA bil.500 na Samia kawapa bil.500 Kwa.miaka 2 tuu,hapo sijazunghmzia mapato from other sources
 
Suma JKT ni majanga.
Kazi zao zina ubora wa chini sana.
Hawafai
 
Back
Top Bottom