0653400400
Senior Member
- May 13, 2018
- 124
- 38
- Thread starter
- #21
Ndio...ila maalum kwa matumizi ya WhatsApp only.Hiyo I'd ndio namba yako?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio...ila maalum kwa matumizi ya WhatsApp only.Hiyo I'd ndio namba yako?
Ngoja nikuaddNdio...ila maalum kwa matumizi ya WhatsApp only.
Oeni munaowapenda.Waweke picha za nini?
Wanajua uchumba ni kama kupeleka vyeti na kufanyiwa usaili bila kujua physical appearance inaongea kwa sauti kuliko vyeti kweny uchumbaKWANINI WANAWAKE WENGI WANAOTAFUTA WACHUMBA JAMII FORUM HAWAWEKI PICHA ZAO?
We add utaona tuNgoja nikuadd
Una safari ndefu sana ya kwendaOeni munaowapenda.
Hatuwaoni hilo ni tatizo...kwani hufikili jombaa?
Labda wanaogopa kukosolewa,Mwaka wa kutafuta mchumba humu nitaweka picha..lol
UnitagMwaka wa kutafuta mchumba humu nitaweka picha..lol
Haha..Unitag
Hiyo ni aya kwenye Qur'an sio mimiUna safari ndefu sana ya kwenda
Kwann utafuta shem wakat mashem tupo..tuta takecare the bizinezi[emoji23] [emoji23]Haha..
Hata wakikosolewa ndo watabadilika mkuuLabda wanaogopa kukosolewa,
Hahaha..Shem usinambie umeshapiga masanga mapema yote hiiKwann utafuta shem wakat mashem tupo..tuta takecare the bizinezi[emoji23] [emoji23]
Kwa kuwa sitafuti na ndio maana siweki,anaetafuta na aweke atakaempenda atamfata inbox haina usumbufu hiyo..humu kuna kila mtu na mapenzi ya aina yake.hawezi kukosa naamini hivyo.Weka yako tukuone kwanza..
Si anataka ndoa,tuone alivyo,hairuhusiwi kuoa usiempenda.waweke picha
Ili ugundue nini !
Hawana zawadi ya kubalikiwaKWANINI WANAWAKE WENGI WANAOTAFUTA WACHUMBA JAMII FORUM HAWAWEKI PICHA ZAO?