0653400400
Senior Member
- May 13, 2018
- 124
- 38
- Thread starter
- #41
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hawana zawadi ya kubalikiwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hawana zawadi ya kubalikiwa
Aiseeeh kumbeeeAonekane wenye nia wajiridhishe...kwa anaejua masuala ya ndoa atajua nazungumzia nini
Mwanaume haimlazimu kisheria.wanaume wanaweka?
Unajua katika sisi binadamu kati ya wanaume na nwanamke tumegawana ladha.
Mwanaume ladha yake ni kuona akapenda
Mwanamke ni kusikia maneno...nadhani ushawishi wa haraka na uhakika ungepatikana kwa mwanaume baada ya kumuona na akashawishika..
Una uhakika na hilo..kama ushatumiwa sawa.
Naona na wewe umeweka pichaaa hahha. Mnaambiwaa nyani haoni kundule kabla hujansea mwenzako jiulize wewe je uko sahihii!KWANINI WANAWAKE WENGI WANAOTAFUTA WACHUMBA JAMII FORUM HAWAWEKI PICHA ZAO?
Kwasababu sio wanawake bali ni matapeli wa kiumeKWANINI WANAWAKE WENGI WANAOTAFUTA WACHUMBA JAMII FORUM HAWAWEKI PICHA ZAO?
Kwasababu sio wanawake bali ni matapeli wa kiumeKWANINI WANAWAKE WENGI WANAOTAFUTA WACHUMBA JAMII FORUM HAWAWEKI PICHA ZAO?