Abdulhalim
Platinum Member
- Jul 20, 2007
- 17,215
- 3,076
Going forward you better not complain about any mwanasiasa....
I actually, siezi ku-complain kuhusu wanasiasa, najua wengi wao ni waganga njaa au wajasiriamali. Watu kaa wewe mnaowatumainia wanasiasa ndio wa kubeba lawama.
Nimeona hapo kuna thread inasema mgombea urais asitumie zaidi ya bilioni 1. Nimesikia hata uvivu kufungua kuona yaliyomo. Hivi ktk hali ya kawaida mtu ata-splash 1 billion Tsh bila kula faida huko mbeleni?
Hiyio nawaachieni nyie mnaodhani siasa itajenga nchi.