Nyerere aliondoka na sh ngapi hata familia yake ikoje kwa sasa si hata watoto wake kina Makongoro si tunawaona angalia tofauti yake na wanasiasa wa kisasa watoto wao wako wapi na familia zao zikoje hakuna sababu ya kuwatajaaah wapi..bahti mbaya mie sio mdanganyika..endeleeni kudanganyana na siasa zenu.
Duh! ingekuwa hivi nafikiri hawa maprofesa na madaktari wangebaki vyuoni kufundisha, chakula kaka!Mwanasiasa halisi(i mean halisi) haangalii faida ya pesa kurudi mfukoni mwake anaagalia maendeleo ya wananchi wake kama barabara, hospitali, shule nk
Nafikiri wengi hapa hatujui maana ya CV au resume wataalamu wanasema CV nzuri isizidi 2 pages A4 paper maana CV haiajiri mtu inasaidia kushort list applicants kinachoajiri ni interview inategemea jinsi utakavyojieleza unaweza ukawa na CV nzuri lakini ukafeli interview
Sasa kwenye CV ya page 2 sitegemei kama utaeleza achievemets zako zote za miaka 20 vinginevyo kitakuwa kitabu na ukiweka maelezo mengi kwenye CV interviewers wengi huwa hawasomi wanatupilia mbali
Haijalishi uwe na degree ngapi butMkuu yawezekana uko sahihi.
Lakini mimi nijuavyo CV inaendana nini ulichokifanya huko, kuhusu pages sina uhakika mie ninavyofahamu inatokana na elimu yako iko propotional na page za cv vivyo hivyo kwa mda wa kazi.
Nafikiri wanaondika page mbili ni watu wa vidato na wanaomaliza digrii ya awali.
Hebu chungulia cv ya huyu jamaa, japo sio sample nafikiri ndo hali halisi.
Hao unaosema wanachoka kusoma page kadhaa za cv, ni wavivu na huu ni uvivu wetu waafrika na ndio maana nafikiri na ndio maana tunapata wafanyakazi feki.
Unapoweka nini unakijuwa ktk cv na mafanikio ndio unampa mwajiri picha halisi na yeye kupata fursa kukuliza maswali kulingana na cv yako, hapo ndio atajuwa umedanganya ama la.
cheki hiyo attachment. japo nasisitiza sio sample lakini nafikiri ndivyo inatakiwa kuwa.
CV ni mhimu sana kwanye politics kwa nchi za wenzetu ni hot cake angalia Tony Blair, Brown, Obama, Hilary etc lakini kwa bongo inaonekana kama kiini macho wapiga kura wengine hawajui hata maana ya CV.
Haijalishi uwe na degree ngapi but
What makes a good CV?
A good CV should be:
What should you include?
- targeted to the job you're applying for
- simple, clear and concise - using no more than 2 easy to read fonts on plain white paper
- short - 2 sides of A4 paper (possibly with an extra sheet for research publications if you have done a PhD). The CV shouldn't be bound
- for design jobs, the CV could be creatively presented to showcase your work
- free from spelling, grammatical and typing errors - give it to someone else to check
- accompanied by a covering letter. The CV and covering letter should be in the same font, layout and on the same paper
A CV should normally contain the following information, but layout will vary depending on which information is most relevant.
Personal details: name, address, phone, date of birth, nationality (international students) Education: postgraduate study, first degree, school qualifications, listing the most recent first Work experience: relevant first, then other work experience - including unpaid Skills: computer literacy, driving licence, languages etc Extra-curricular activities: including student societies, sports teams Interests: including sports, hobbies References: personal tutor, employer, (voluntary work supervisory, work placement supervisor), project supervisor
Kumbe MkamaP na wewe hujui CV ni nini uliyoiweka pale si CV ni maelezo ya maisha yake shuleni mtu anaeleza alichoandika kwenye kitabu na chapter zake kama 50 pia ameorodhesha Journal article kama 40 ameelezea eti alikuwa Invited Lecture na Presenter hiyo si CV mtu hadi ameeleze eti nani alim sponsor kwenye research amehudhulia vikao na mikutano mbalimbali hayo si malengo ya CV ndiyo maana imekuwa na page nyingiMkuu yawezekana uko sahihi.
Lakini mimi nijuavyo CV inaendana nini ulichokifanya huko, kuhusu pages sina uhakika mie ninavyofahamu inatokana na elimu yako iko propotional na page za cv vivyo hivyo kwa mda wa kazi.
Nafikiri wanaondika page mbili ni watu wa vidato na wanaomaliza digrii ya awali.
Hebu chungulia cv ya huyu jamaa, japo sio sample nafikiri ndo hali halisi.
Hao unaosema wanachoka kusoma page kadhaa za cv, ni wavivu na huu ni uvivu wetu waafrika na ndio maana nafikiri na ndio maana tunapata wafanyakazi feki.
Unapoweka nini unakijuwa ktk cv na mafanikio ndio unampa mwajiri picha halisi na yeye kupata fursa kukuliza maswali kulingana na cv yako, hapo ndio atajuwa umedanganya ama la.
cheki hiyo attachment. japo nasisitiza sio sample lakini nafikiri ndivyo inatakiwa kuwa.
Mfano January Makamba yupo serikalini na vitu kama hivyo.
Nyerere aliondoka na sh ngapi hata familia yake ikoje kwa sasa si hata watoto wake kina Makongoro si tunawaona angalia tofauti yake na wanasiasa wa kisasa watoto wao wako wapi na familia zao zikoje hakuna sababu ya kuwataja