Prisoner 46664
JF-Expert Member
- Dec 18, 2010
- 1,948
- 1,238
Na sijui NECTA wanawekaje ranking zao..wanawezaje kuwaweka namba 4 wakati hamna zero wala four?..Its unfair kuiweka Mzumbe namba 2 wakati ina 4 mbili na 0 moja.
Anyways...congrats sana vijana..2014 mnarudi at the very top,,,na hii ni bila spoon-feeding.
Anyways...congrats sana vijana..2014 mnarudi at the very top,,,na hii ni bila spoon-feeding.