Acha uongo kijana, $40000 sawasawa na tshs million 70 za kitanzania.. Labda shopping ya $400
Wanaomlalamia kama nyie hamuwezi,mwenzenu aweza
za siku Sister?shopping $40,000 kula kulala kwa baba na mama. huu ni ujinga uliopitiliza.
huwez jua mkuu dollar 40,000 thaman yake dubai ni tofaut na tz ila kama ni kwel atakua unawaza na pu...
Mi nimeleta topic 2 ndo maana nimeandia source na picha nkaweka
Hebu acheni ujinga shoping ya dollar 40,000 dubai? Hakuna sehem vitu bei rahisi kama dubai,mm naishi hapa dubai lau angefanya shoping hiyo kwa mazagazaga hayo ya kike basi angekosdi contena kuweka vitu vyake lakini hivi vya kwenye picha hakuna kitu,