only83
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 5,343
- 2,527
Yani haka ka-dada kanafanya haya yote kwa ajili ya nani,ili iweje? Asitudanganye bwana fanya hesabu,currently 1 dollar=Tshs 1650 kwa hiyo kwa dollar 40,000 ni sawa na 66,000,000 ni kweli? Au kuna mtu amemtoa..hata kama yupo si wa kutoa millioni 60....