Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kesho madame atakuwa na part mwanza, imepewa jina "INSTAGRAM PARTY" guest of honour atakuwa Idrissa mshindi wa BBA so bila shaka huyo ndio mr wake.
Hahaaa wema kwishney
thubutuuu atambe kumpata bwana kama Idriss?
Halafu Chibu anapenda mwanamke mtafutaji ndio maana kipindi kile mashabiki jina wasiokuwa na faida wa wema wanaanzisha kampeni ya #Bringbackourmadame aliwajibu kwamba hata kumuigizia.mnataka nimuigizie miye?Chibu kapata muke mwenye akili kubwa sio mcheza vigodoro n mlevi mbwa ndio mana wanaume tumeambiwa mke mwema hutoka kwa ........,muganda kampa dili la mamilioni na mimba juu hpo chibu kapata mukeeee
Halafu Chibu anapenda mwanamke mtafutaji ndio maana kipindi kile mashabiki jina wasiokuwa na faida wa wema wanaanzisha kampeni ya #Bringbackourmadame aliwajibu kwamba hata kumuigizia.mnataka nimuigizie miye?
Martin kadinda ameshaongea wee lakini dadalao limegoma.Mwache aendelee na hiyo hali ila hakuna atakayechanga mchango kikinuka.
Halafu ki2 domo akifanya huyo madam nae yupo nyuma sasa alienda uganda dec nae madam akatafuta safari y huko instead afanye mambo.hata hiyo insta party yeye amealikwa tu sio muandaaji bt pwanya road full kusema pati yao
Ahahahah usiniambie!?!?!kumbe ni Party ya kualikwa??ndio maanaaaa!!!kwenye ile clip hakusema saa wala eneo kumbe alikuwa hana uhakika ni ukumbi gani!maskini miss tz wetu.
Yaani yale maneno ya kwenye wimbo wa x wake wa nasema na wewe yanamhusu yote.full uongo mtoto yule
Makubwaaa!!sasa kiherehere cha kualika watu wakati na yeye amealikwa ni kikali!Kuna jamaa w dar ndio waandaaji yeye kaalikwa kuuza sura 2 hao team yke hata nauli y basi hawana full kelele humu,wao fani yao kuuza mpapa 2
thubutuuu atambe kumpata bwana kama Idriss?
Kwani Idriss hawezi kumuoa....
Ngoja mahakama ya kadhi ije ndo atatia akili
Haya hayaaa
Kuna picha Idrisa kapost nimesoma comments zimenivunja mbavu.. Nikifanikiwa kuiattach nitaiweka.. But Wema angeachana na uvaaji wa nguo fupi angependeza sana
Kapost wapi best.. Niifuate huko huko.. Hahaaa
Kapost wapi best.. Niifuate huko huko.. Hahaaa