Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 50,587
- 71,492
Kuna picha Idrisa kapost nimesoma comments zimenivunja mbavu.. Nikifanikiwa kuiattach nitaiweka.. But Wema angeachana na uvaaji wa nguo fupi angependeza sana
Nimeiona ni sheeedah
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna picha Idrisa kapost nimesoma comments zimenivunja mbavu.. Nikifanikiwa kuiattach nitaiweka.. But Wema angeachana na uvaaji wa nguo fupi angependeza sana
Nimeiona ni sheeedah
Sina imani na huyu Binti ase Sijui kwa nn tu,
jamani habari ndio hiyo WEMA kaolewa tayari na anaishi na mume wake kwa sasa lakini MONDS bado anaangaika na wanawake kila siku mara sijui ZARI ambae ana watoto kibao na tunajua hawawezi kufunga ndoa zaidi ya porojo kibao. sasa yeye ndie alimuacha wema lakini mwenzake tayari kaolewa(cha nini wakati wenzako wanawaza watakipata lini) lakini yeye yuko mara kule mara sijui zari white party swaga kibao. sasa hapa kwa upande wako nani mjanja hapa?
Mbona Heaven on Earth sijamuona mpaka sasa.
Hongera zake mwanamke mwenzetu............ila sisi watu ni wachawi sana......... wema akiolewa kwann uumie na matusi ju..........tunajua hatuwezi mfikia hata robo thus why miroho inatudunda ....kila tukisikia chochote kuhusu wema......sasa mlitaka asiolewe?!!!!! Na mara nyingi ndio mana hatufanikiwi kwa kuwawekea chuki watu hata kuwaona hatujawahi......
Kumbe ndio maana aliweka picha insta akiwa kavaa gauni la harusi?
Hana lolote huyo kaolewa na mume wa mtu.Kwanini afunge ndoa ya bomani? Yaleyale ya K-Lyn tu.
Staa wa filamu za Kibongo,Wema Sepetu amekiri kufunga ndoa bomani hivi karibuni ambayo ilihudhuliwa na watu wachache. Akizungumza na Clouds FM alisema kuwa aliamua kufunga ndoa ya siri kwa kuogopa kupigwa 'juju' na mumewe angeshindwa kumuoa.
Hata hivyo alipoulizwa kuhusu tatizo lake la kutoshika mimba alisema kuwa mumewe amelikubali na hana tatizo.
==============
Chanzo: CloudsFM
- Huu ni uongo wa kitoto sana hii siku nimewaona yeye na JB wakishoot hii muvi pale Hilton Double Tree Hotel leo imekuwa ndoa? Halafu kwa uongo kama huu nia na madhumuni ni nini hasa mupage yote hii kwa ajili ya habari ya uongo hili Taifa tunaenda wapi? Inasikitisha ok now what is the agenda here kwamba kuna siku watakuja kutenengeneza pesa kwa uongo wa kitoto kama huu?
Le Mutuz
Kwa hiyo nani muongo?Mleta mada au Clouds FM?
Haya hayaaa
- Huu ni uongo wa kitoto sana hii siku nimewaona yeye na JB wakishoot hii muvi pale Hilton Double Tree Hotel leo imekuwa ndoa? Halafu kwa uongo kama huu nia na madhumuni ni nini hasa mupage yote hii kwa ajili ya habari ya uongo hili Taifa tunaenda wapi? Inasikitisha ok now what is the agenda here kwamba kuna siku watakuja kutenengeneza pesa kwa uongo wa kitoto kama huu?
Le Mutuz
Anapenda kukumbatia wanaume huyu mumewe atakua na kazi hapo nataka akosane na kale kamupenzi ka Idrisa
Le tamkozzz from le baharia- Clouds hawahusiki na this huwa wapo makini sana, siamini Clouds wanahusika na this nonsense!!Le Mutuz
- Huu ni uongo wa kitoto sana hii siku nimewaona yeye na JB wakishoot hii muvi pale Hilton Double Tree Hotel leo imekuwa ndoa? Halafu kwa uongo kama huu nia na madhumuni ni nini hasa mupage yote hii kwa ajili ya habari ya uongo hili Taifa tunaenda wapi? Inasikitisha ok now what is the agenda here kwamba kuna siku watakuja kutenengeneza pesa kwa uongo wa kitoto kama huu?
Le Mutuz