Hapo sasa.Huyu ana lake zitooo kuliko maelezo.
Wema huyu tunayemjua sisi au yupi wa kuficha kitu?
Ana mrusha roho tu diamond na zari hana lolote!kuolewa kulivyokuw raha masikhara sasa??!unatamani dunia nzima ijue kama umeolewa halafu humfiche mumeo!wema gani wakuwa na siri!
Ameshindwa kujifichia siri ya ugumba ataweza kuficha mume na ndoa?
Nani angempiga juju waache kumpiga Zari apigwe yeye....kimenukaaaaaa
Ha ha ha mimi siamini bwana labda anatafuta kick tu kutokana na hiyo party ya kesho.
Anaogopa kusahaulika.
Ndimu Ndimu hata kwa Millard Ayo hajajibu vizuri kama kaolewa au laaaaa....kajibu kutafuta attention kabla ya kesho na naamini kamuomba Millard amuhoji leo...ila kachelewa angesubiri baada ya kesho...ndimu ndimu zimeisha magengeni.
Hivi angekaa kimya na kufanya yake nani angemsema maana wadau wanammwagikia hadi anakuwa mdogo mdogo na timu yake wanakopi picha kudanganya....
Tatizo huyu demu nasikia papuchi yake ina ile harufu ya asili kali sana, wanaume wanashindwa kumvumilia!
Eti anaogopa juju, angeanza kupigwa K-Lyn kwanza sio yeye.Yeye aseme tu ukweli kaolewa na kibabu chake basi. geniveros Diva Beyonce
Ana makubwa naye kwani yeye ndo wa kwanza kuolewa! Yani anaficha hadi harusi lazima kuna kitu si bure anaficha.
Walisema haolewiii 😁😁👏👏👏
Mwenzangu huko insta kuna picha dougiemasta kaweka eti kuna party ya harusi sijui nini!
Hawana lolote wanataka kuwachanganya watu tu na hivi kesho kuna party ya diamond na zari...