Kimbley
JF-Expert Member
- Apr 8, 2015
- 3,050
- 2,104
Hapo sasa.Huyu ana lake zitooo kuliko maelezo.
Wema huyu tunayemjua sisi au yupi wa kuficha kitu?
Ana mrusha roho tu diamond na zari hana lolote!kuolewa kulivyokuw raha masikhara sasa??!unatamani dunia nzima ijue kama umeolewa halafu humfiche mumeo!wema gani wakuwa na siri!
Ameshindwa kujifichia siri ya ugumba ataweza kuficha mume na ndoa?