Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 50,587
- 71,492
Leo team mwafulani mmeipata, hakika leo ni siku mbaya sana kwenu, maana toka hasubuhi mpaka usiku habari ya jiji ni zari white party khaaa yule mtoto ni kiboko aseeh, sio mapokezi yale binamu, we umeonaje? Mtoto anatreatiwa kama malkia full break fast ya nguvu
Hebu weka picha nione hayo mapkezi hhhaaaaaaaaa