Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
- Thread starter
-
- #21
Ha ha ha ha endelea tu kujifariji ila ni pigo kubwa sana hiloKaondoka lowassa ccm nn wema weweee??? Kaondoka kingunge ccm nn wema weweee,kaondoka sumaye ccm nn wema weweeee
LOL
Kuhama hama chama ni kukosa mengi na tamaa juu.
Ha ha ha haKu like siyo issue kibinadamu mtu anapokuwa kwenye matitizo ni vyema kutakiana heri, ukoangalia hata tale amelike ila ni ccm
Sio tamaaLOL
Kuhama hama chama ni kukosa mengi na tamaa juu.
Unatetea chama kwa nguvu zote kwakweli msukuma hana haja ya kuwa na hofu na familia amepata mlinz aharakishe tu mahari[emoji12]LOL
Kuhama hama chama ni kukosa mengi na tamaa juu.
Ha ha ha haHasira hasara
Maneno ya hekima sana haya mkuuUsijaribu kuchukua maamuzi yoyote makubwa unapokuwa kwenye lindi ama kilele cha furaha huzuni ghadhabu sononi na kukata tamaa
Walivyo hama hao watu hali ya chama ilikuwaje?Aliondoka lowasa, kingunge, sumaye ije kuwa wema acheni masihara basi mbona ni mtu mdogo sana kwenye chama huyu... Kijana usiwajibishwe ukifanya kosa tukihofia mtu atahama chama haahahaahahahaha..... Let her go for good or worse
Ccm wanajinywesha sumu kali wao wenyewe soon tutaisahau kama KANUHatimaye mwana dada Wema Sepenga ameonesha kwa namna moja ama nyingine kuamishia majeshi Chadema mara baada ya kuona huko alikokuwa mwanzoni (CCM)alikuwa hayupo sehemu sahihi
Hapo mwanzoni zilianza kama tetesi lakini taratibu ukweli wa mambo unaanza kudhihirika siku baada ya siku kuwa Wema si kada tena wa CCM na hivyo basi CCM wamepata pigo kubwa sana kumkosa huyu mtu kwa kuwa anawafuasi wengi saana ambao wapo tayali kumfata kokote kule aendako
Na kwa kuonesha msisistizo zaidi Wema ameonesha mahaba mazito kwa mheshimiwa Freemaan Mbowe ikiwemo ku like picha zake nyiiingi huko Instagram
View attachment 472975
Haya saaaaasa Aluta kontinuaaaaa muvi ndo kwaaaaanza linaanza
Wema aikataa ccmKu like siyo issue kibinadamu mtu anapokuwa kwenye matitizo ni vyema kutakiana heri, ukoangalia hata tale amelike ila ni ccm
Thread ya namna hii ni dalili za mtu kuwashwa...
Sema sijajua muwashwaji amewashwa wapi zaidi...