Wema aikataa CCM na kujiunga Chadema?

Wema aikataa CCM na kujiunga Chadema?

Lililo kubwa linaloniumiza kichwa, ni kwanini hawa watu hawajifunzi kwa makosa ya awali ya kujikusanyia mamizoga na kuleta uvundo nyumbani? Nyumba iliyokuwa ikiaminika kuwa ni safi kunuka ni kashfa kubwa.

Ningekuwa ni mtendaji wa hicho chama nisingeweza kumkubalia ajiunge. Kashfa zake azisafishe kwanza. Ni asset au liability, mmeachiwa kakanuni hako.
Mama kaondoka sasa tuna mama wa kambo lazima nyumba inuke tu.Coz yeye anachuna tu hali mtu.
 
Posti haijaenda shule bado. Inahitaji kuwekewa nyama. Lakini nampongeza Dada Wema kwa kujitambua, Kama kweli kasema hivyo, maana uhuru wa kweli upo Moyoni mwake.. Achana na maslahi ya kipuuzi, tambua thamani yako na uhalisia wa mambo. Duniani tunaishi mara moja tu. Utaheshimika kwa kuishi ukweli na wala si maslahi na eti Baba yangu alikuwa kada. Kumbuka wakati Baba akina Chama hiko TZ ili kuwa chini ya Chama Kimoja. Wewe weka historia yako, si ya Baba.

Kila chama ,kila mtu. Kinachojua wapi kinakwenda. Na anayejua kujitambua wapi anakwenda ,nini anataka ,na yeye ni nani ---kinajiwekea masharti na target. The end will not justify any means in so far as they do not conform to its or his or her beliefs.Leo wewe msomi. Mana ndo mnajivyojihita wanajamii UNATAKA KUSEMA HAIJALISHI MTU NA TABIA NK. MRADI AJE KWETU. du hakuna atakayeweza kuwaongoza nyie sio Mbowe ,Lisu wala Lema .You are Beyond REPAIR. Na kwa kuwa mnatumia vitu fulani mtakumbilia maneno bila kujiuliza nabkutafakari the klux of the Matter
 
Huo ndo mkakati mpya wa Mh.Mashinji kutafuta wanachama kupitia semmbe...Kwel katibu mkuu chadema ..umebaki pambo tu.
 
Mi niionavyo kwa uhai wa cdm na upinzani nchini ni ujinga kumpokea Wema chamani, ila ni ujinga zaidi kuendelea na huyu mwenyekiti. Nadhani kuna chama cha upinzani kitakipoka ccm madaraka. Ila kwa mienendo hii ni kwa miujiza tu hicho chama kuwa ni cdm.

Sijui mmelewa ulevi gani hapa, hamjifunzi hata kwa makosa yenu wenyewe. Cdm iko ukingoni kinaelekea kufa/kupotea mazima. Kinajipelekapeleka tu pasi miiko ya chama, Sera wala itikadi. Chama cha mihemuko. Mtajitetea eti ccm mbona nao wako hivyo, sa kama mnafanana yanini mabadiliko?

Mmetuaminisha ninyi ni tofauti, kumbe inaweza kuwa ni kweli si kila mabadiliko ni mema. Mengine ni ya kuelekea shimoni. Siamini kama cdm watampokea huyu kwa kujidanganya kuwa ni asset. Jifunzeni, mlishapoteza silaha kali sana, vita dhidi ya ufisadi. Sijui mnataka mpoteze kila kitu, nawakumbusha kuwa mvua zinanyesha nchini.
 
Hao hao walitembea nchi nzima kuifagilia fisiem tukawambia chama kinawenyewe hicho
Hata huku nako atahama tu
 
Kila chama ,kila mtu. Kinachojua wapi kinakwenda. Na anayejua kujitambua wapi anakwenda ,nini anataka ,na yeye ni nani ---kinajiwekea masharti na target. The end will not justify any means in so far as they do not conform to its or his or her beliefs.Leo wewe msomi. Mana ndo mnajivyojihita wanajamii UNATAKA KUSEMA HAIJALISHI MTU NA TABIA NK. MRADI AJE KWETU. du hakuna atakayeweza kuwaongoza nyie sio Mbowe ,Lisu wala Lema .You are Beyond REPAIR. Na kwa kuwa mnatumia vitu fulani mtakumbilia maneno bila kujiuliza nabkutafakari the klux of the Matter

Una matatizo kichwani. Your thinking is far below average! Read between the lines and understand the posting before commenting on it. Hii ni JF siyo mataputapu club, please.
 
Watu mkionyeshwa madoa yenu eti mnatangaza kuhama chama si mjilekebishe hata kama ukihama kama mchafu ni mchafu tu , kuhama sio sukuhisho
 
Sio tamaa

Amechoshwa na hii serikali ambayo imeshindwa kuwaendeleza vijana ,imeshindwa kuendeleza sekta ya michezo, muziki na sinema

Bongo muvi ishakufa tayali na sekta ya michezo inaenda kufa kwa kuwa wachezaji hawapewi motisha kama kipindi cha kikwete
Kwa hyo wao serikari ilikuwa inafanyia hzo muvi..sipendi ccm lkn huyo wema apeleke upuuzi wake huko kwani yy awepo au asiwepo analeta impact gani ktk nchi mfyuuuuu nawachukia mnaompa kichwa hili taifa gani lkn linaloshabikia wapuuzi
 
Aliondoka lowasa, kingunge, sumaye ije kuwa wema acheni masihara basi mbona ni mtu mdogo sana kwenye chama huyu... Kijana usiwajibishwe ukifanya kosa tukihofia mtu atahama chama haahahaahahahaha..... Let her go for good or worse
Pigo baada ya pigo.mtabaki wasukuma tu huko!...
 
Hahahaaaa Lowassa alisafishwa na ccm kisha akasuuzwa na chadema!! Au umesahau ile kauli ya chama Dola kuwa mwenye ushahidi juu ya ufisadi wa Lowassa aende mahakamani? Nani aliwahi kwenda? Kama ccm mumepata huo ushahidi pelekeni tu!hamjachelewa
a1f44eae7b83283e6a6214c07dfe6887.jpg
 
kaka umemaliza kila kitu.....ccm tunajiweza kwanza hatuoni mchango wake kwny chama chetu zaidi wanakitia doa aondoke aende akasafishwe uko chadema
Aiseee ccm.ndo.mnajitetea hivi kumbe
mnajiweza mnasema..
ama kweli shukrani ya punda ni mateke
wakat anafanya kampen ya mama ongea na mwanao mlikua mnaona ndio ana mchango sio? Leo hana mchango kwa kuhamia kwingine
sababu mmemzushia uongo baadhi yenu wana ccm akiongozwa na daudi bashite na kum harass kwenye hadhira...na pia daudi bashite kunyimwa "tunda" ndo ikawa balaa zaidi..
 
Huyu dada atakuja kuukwaa ubunge wa kuteuliwa huyu...kupitia chadema nimestukia dili
 
Back
Top Bottom