Kila chama ,kila mtu. Kinachojua wapi kinakwenda. Na anayejua kujitambua wapi anakwenda ,nini anataka ,na yeye ni nani ---kinajiwekea masharti na target. The end will not justify any means in so far as they do not conform to its or his or her beliefs.Leo wewe msomi. Mana ndo mnajivyojihita wanajamii UNATAKA KUSEMA HAIJALISHI MTU NA TABIA NK. MRADI AJE KWETU. du hakuna atakayeweza kuwaongoza nyie sio Mbowe ,Lisu wala Lema .You are Beyond REPAIR. Na kwa kuwa mnatumia vitu fulani mtakumbilia maneno bila kujiuliza nabkutafakari the klux of the Matter