Wema aikataa CCM na kujiunga Chadema?

Wema aikataa CCM na kujiunga Chadema?

Ku like siyo issue kibinadamu mtu anapokuwa kwenye matitizo ni vyema kutakiana heri, ukoangalia hata tale amelike ila ni ccm
Ha ha ha ha
Endelea kujifariji tu

Na Wema safari hii hayuko radhi kuwapigia promo hata mkimpa vihela vyenu
 
Mbowe amelike pic yangu insta so ni mfuasi wangu amehamia kwangu au sio!!
 
LOL

Kuhama hama chama ni kukosa mengi na tamaa juu.
Sio tamaa

Amechoshwa na hii serikali ambayo imeshindwa kuwaendeleza vijana ,imeshindwa kuendeleza sekta ya michezo, muziki na sinema

Bongo muvi ishakufa tayali na sekta ya michezo inaenda kufa kwa kuwa wachezaji hawapewi motisha kama kipindi cha kikwete
 
Aliondoka lowasa, kingunge, sumaye ije kuwa wema acheni masihara basi mbona ni mtu mdogo sana kwenye chama huyu... Kijana usiwajibishwe ukifanya kosa tukihofia mtu atahama chama haahahaahahahaha..... Let her go for good or worse
Walivyo hama hao watu hali ya chama ilikuwaje?

Ilibaki stable au ili tetereka?
 
Hatimaye mwana dada Wema Sepenga ameonesha kwa namna moja ama nyingine kuamishia majeshi Chadema mara baada ya kuona huko alikokuwa mwanzoni (CCM)alikuwa hayupo sehemu sahihi



Hapo mwanzoni zilianza kama tetesi lakini taratibu ukweli wa mambo unaanza kudhihirika siku baada ya siku kuwa Wema si kada tena wa CCM na hivyo basi CCM wamepata pigo kubwa sana kumkosa huyu mtu kwa kuwa anawafuasi wengi saana ambao wapo tayali kumfata kokote kule aendako



Na kwa kuonesha msisistizo zaidi Wema ameonesha mahaba mazito kwa mheshimiwa Freemaan Mbowe ikiwemo ku like picha zake nyiiingi huko Instagram


View attachment 472975



Haya saaaaasa Aluta kontinuaaaaa muvi ndo kwaaaaanza linaanza
Ccm wanajinywesha sumu kali wao wenyewe soon tutaisahau kama KANU
 
Chama cha Democrasia n.a. Maendeleo sasa inaenda kujaa wenye tamaa ya madaraka. Aiseee adi rahaa. Kule babu mamvi kule wema sepenga.....chama cha kijani kitabaki na wasafi soon
 
Back
Top Bottom