Wanachama kama hawa wanafiki wanapswa wahamie ACT_wazalendo chadema tunahitaji wale walioko tayari huyu hayuko tayari kwenye uchaguzi Alikuwa mnafiki leo yamemfika anakimbilia huku kujificha abaki huko hukoHa ha ha ha
Na bado watazidi kuhama
Kwenye chama atabaki bwana yule peke yake
Mkuu sio like tu mpka koment yake inadhihirisha hiloYani likes tu zinakufanya unausemea moyo wa mwingne hvyo, Duh
Mtasema yoteBaada ya cdm kuwa Chaka la mafisadi ,sasa limekuwa Chaka la wauza na watumia Ngada
Ha ha ha haNyoooo unawashwa niin kaondoka shida yako nn !kimbunga cha jangwan chaja
Arudi huko kwani amesahau nini?Kila la heri safari njema, ukirudi utapokelewa ila utakatwa mkia
Subilia tamko lake mwenyew sio vitetes uchwara hapa. Watu watasema meng sana kutokana na kesi yake.Mkuu sio like tu mpka koment yake inadhihirisha hilo
Pia watu wa karibu wa Wema nao pia wanasema hivyo
Mwanzoni ilikuwa kama tetesi ila taratibu inaanza kudhihirika
[emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji817]Maneno ya hekima sana haya mkuu
Unaona sasa?? Lowassa alimhenyesha nani?? Kwahiyo kwa akili zako unadhani mi naweza kushabikia liChama la Majambazi?? Mi si mwanachama wa chama chochote cha siasa... na ikitokea ikawa ni lazima nijiunge na chama cha Siasa, CCM haiwezi kuwa chaguo langu. Chama kina wenyewe na wenyewe wanazijua akili zao mbovu...Ha ha ha ha
Hata Lowasa mlisema hivyo hivyo lakini aliwahenyesha haaswaaa
Toka uzaliwe michezo na Sana'a imeshakusaidia nn au kuisaidia nn nchi??? Ife kabsa maana haisaidii wahusika zaid ya kuwanyonya na kuwaingizia viongoz wake mahela tu,bora ife tu sitapungukiwa na cchoteSio tamaa
Amechoshwa na hii serikali ambayo imeshindwa kuwaendeleza vijana ,imeshindwa kuendeleza sekta ya michezo, muziki na sinema
Bongo muvi ishakufa tayali na sekta ya michezo inaenda kufa kwa kuwa wachezaji hawapewi motisha kama kipindi cha kikwete
Atamzidi Lowasa? Yupo wapi na hao wabunge wake? Chezea chama kubwa we we!Hatimaye mwana dada Wema Sepenga ameonesha kwa namna moja ama nyingine kuamishia majeshi Chadema mara baada ya kuona huko alikokuwa mwanzoni (CCM)alikuwa hayupo sehemu sahihi
Hapo mwanzoni zilianza kama tetesi lakini taratibu ukweli wa mambo unaanza kudhihirika siku baada ya siku kuwa Wema si kada tena wa CCM na hivyo basi CCM wamepata pigo kubwa sana kumkosa huyu mtu kwa kuwa anawafuasi wengi saana ambao wapo tayali kumfata kokote kule aendako
Na kwa kuonesha msisistizo zaidi Wema ameonesha mahaba mazito kwa mheshimiwa Freemaan Mbowe ikiwemo ku like picha zake nyiiingi huko Instagram
View attachment 472975
Haya saaaaasa Aluta kontinuaaaaa muvi ndo kwaaaaanza linaanza
Hahaha..ngoja nicheke. Mende kuangusha kabati?Hatimaye mwana dada Wema Sepenga ameonesha kwa namna moja ama nyingine kuamishia majeshi Chadema mara baada ya kuona huko alikokuwa mwanzoni (CCM)alikuwa hayupo sehemu sahihi
Hapo mwanzoni zilianza kama tetesi lakini taratibu ukweli wa mambo unaanza kudhihirika siku baada ya siku kuwa Wema si kada tena wa CCM na hivyo basi CCM wamepata pigo kubwa sana kumkosa huyu mtu kwa kuwa anawafuasi wengi saana ambao wapo tayali kumfata kokote kule aendako
Na kwa kuonesha msisistizo zaidi Wema ameonesha mahaba mazito kwa mheshimiwa Freemaan Mbowe ikiwemo ku like picha zake nyiiingi huko Instagram
View attachment 472975
Haya saaaaasa Aluta kontinuaaaaa muvi ndo kwaaaaanza linaanza