ndayilagije
JF-Expert Member
- Nov 7, 2016
- 7,491
- 8,304
Mama kaondoka sasa tuna mama wa kambo lazima nyumba inuke tu.Coz yeye anachuna tu hali mtu.Lililo kubwa linaloniumiza kichwa, ni kwanini hawa watu hawajifunzi kwa makosa ya awali ya kujikusanyia mamizoga na kuleta uvundo nyumbani? Nyumba iliyokuwa ikiaminika kuwa ni safi kunuka ni kashfa kubwa.
Ningekuwa ni mtendaji wa hicho chama nisingeweza kumkubalia ajiunge. Kashfa zake azisafishe kwanza. Ni asset au liability, mmeachiwa kakanuni hako.
Posti haijaenda shule bado. Inahitaji kuwekewa nyama. Lakini nampongeza Dada Wema kwa kujitambua, Kama kweli kasema hivyo, maana uhuru wa kweli upo Moyoni mwake.. Achana na maslahi ya kipuuzi, tambua thamani yako na uhalisia wa mambo. Duniani tunaishi mara moja tu. Utaheshimika kwa kuishi ukweli na wala si maslahi na eti Baba yangu alikuwa kada. Kumbuka wakati Baba akina Chama hiko TZ ili kuwa chini ya Chama Kimoja. Wewe weka historia yako, si ya Baba.
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]Miaka mitano ijayo chadema itakuwa ccm na ccm itakuwa chadema.
weka akiba ya maneno........Hata kwa Lowasa haya maneno yalitumikaChadema hatuwataki wala sembe
Kila chama ,kila mtu. Kinachojua wapi kinakwenda. Na anayejua kujitambua wapi anakwenda ,nini anataka ,na yeye ni nani ---kinajiwekea masharti na target. The end will not justify any means in so far as they do not conform to its or his or her beliefs.Leo wewe msomi. Mana ndo mnajivyojihita wanajamii UNATAKA KUSEMA HAIJALISHI MTU NA TABIA NK. MRADI AJE KWETU. du hakuna atakayeweza kuwaongoza nyie sio Mbowe ,Lisu wala Lema .You are Beyond REPAIR. Na kwa kuwa mnatumia vitu fulani mtakumbilia maneno bila kujiuliza nabkutafakari the klux of the Matter
Kwa hyo wao serikari ilikuwa inafanyia hzo muvi..sipendi ccm lkn huyo wema apeleke upuuzi wake huko kwani yy awepo au asiwepo analeta impact gani ktk nchi mfyuuuuu nawachukia mnaompa kichwa hili taifa gani lkn linaloshabikia wapuuziSio tamaa
Amechoshwa na hii serikali ambayo imeshindwa kuwaendeleza vijana ,imeshindwa kuendeleza sekta ya michezo, muziki na sinema
Bongo muvi ishakufa tayali na sekta ya michezo inaenda kufa kwa kuwa wachezaji hawapewi motisha kama kipindi cha kikwete
Mmh pigo wema? Kwani hata huko anakohamia ataleta faida gani zaidi ya ufuska tuMtasema yote
Lakini pigo kubwa hilo mmelipata
Pigo baada ya pigo.mtabaki wasukuma tu huko!...Aliondoka lowasa, kingunge, sumaye ije kuwa wema acheni masihara basi mbona ni mtu mdogo sana kwenye chama huyu... Kijana usiwajibishwe ukifanya kosa tukihofia mtu atahama chama haahahaahahahaha..... Let her go for good or worse
Hahahaaaa Lowassa alisafishwa na ccm kisha akasuuzwa na chadema!! Au umesahau ile kauli ya chama Dola kuwa mwenye ushahidi juu ya ufisadi wa Lowassa aende mahakamani? Nani aliwahi kwenda? Kama ccm mumepata huo ushahidi pelekeni tu!hamjachelewa
Aiseee ccm.ndo.mnajitetea hivi kumbekaka umemaliza kila kitu.....ccm tunajiweza kwanza hatuoni mchango wake kwny chama chetu zaidi wanakitia doa aondoke aende akasafishwe uko chadema
Duu kama atagombea wema.. natembea uchi siku mzimaNimesikia wanasema 2020 Wema Sepetu atagombea urais kupitia CHADEMA. Safi sana, lazima amkalishe John.