Wema ajuta kuweka kope za bandia

Wema ajuta kuweka kope za bandia

Nimekuonea huruma tu.Ningeweka usingelala leo...lol

Ahsante kwa kunionea huruma siku hiz sipendi kuona vitu vya kutisha tisha au kusikia mambo ya huzuni,,napenda kuona mazuri tu
 
Ahsante kwa kunionea huruma siku hiz sipendi kuona vitu vya kutisha tisha au kusikia mambo ya huzuni,,napenda kuona mazuri tu

Hahahahaaaaa mwaka wa furaha huu.Huzuni,stress tupa kule kwa mange na wema.
 
Rangi ya Ngozi --------------------- Bandia
Kucha ------------------------------Bandia
Kope ------------------------------- Bandia
Nywele -----------------------------Bandia
Nyusi -------------------------------Bandia

Halafu anajiita mrembo.
 
BEAUTIFUL-Onyinye, Wema Sepetu ‘Madam’ amefunguka kuwa anajuta kutumia kope za bandia kwa muda mrefu kwani zimeharibu kope zake za asili’.Akizungumza na mwanahabari wetu, Wema alisema awali alikuwa hawezi kutoka kwenda kokote bila kuweka kope hizo na hata asipozibandika anajisikia vibaya lakini baada ya kumharibia muonekano wake wa asili, hataki hata kusikia.“Jamani hakuna kitu ambacho nimekichukia kwa hivi sasa kama kope za bandia sina tena ushawishi nazo kabisa zimeharibu macho yangu, situmii tena,” alisema Wema.

Dah huyu dada mzuri sijapata kuona .
 
Rangi ya Ngozi --------------------- Bandia
Kucha ------------------------------Bandia
Kope ------------------------------- Bandia
Nywele -----------------------------Bandia
Nyusi -------------------------------Bandia

Halafu anajiita mrembo.

Tako.........bandia
Kidevu......kakipandisha
Titi.........kalisimamisha (yasemekana)
 
Ni vizuri kaamua kuachana nazo. Akiendelea hivyo atarudisha uzuri wake wa asili.
Kuna kitu kinanipumbaza, why people have so much hate and they can't see how it make them small......kweli hate can blind, literally blind
 
attachment.php


she is cute.......Mashalaah
Heaven on Earth wewe ni #Teamwema or!!!!!
 
Rangi ya Ngozi --------------------- Bandia
Kucha ------------------------------Bandia
Kope ------------------------------- Bandia
Nywele -----------------------------Bandia
Nyusi -------------------------------Bandia

Halafu anajiita mrembo.

Kila kitu bandia halafu anataka real man???!!
 
BEAUTIFUL-Onyinye, Wema Sepetu ‘Madam’ amefunguka kuwa anajuta kutumia kope za bandia kwa muda mrefu kwani zimeharibu kope zake za asili’.Akizungumza na mwanahabari wetu, Wema alisema awali alikuwa hawezi kutoka kwenda kokote bila kuweka kope hizo na hata asipozibandika anajisikia vibaya lakini baada ya kumharibia muonekano wake wa asili, hataki hata kusikia.“Jamani hakuna kitu ambacho nimekichukia kwa hivi sasa kama kope za bandia sina tena ushawishi nazo kabisa zimeharibu macho yangu, situmii tena,” alisema Wema.

Hv na ninihii yake ni tamu km sura yake?
 
Back
Top Bottom