vampire_hunter007
JF-Expert Member
- Jul 25, 2015
- 1,034
- 2,624
utakuwa kaka meneja Kadindisha
Hahahah...Hapana mkuu...Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni.....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
utakuwa kaka meneja Kadindisha
Atumiwe wapiiiiiiiHuyo mtu aliyeomba hy screen shots katumiwa?au bd anasubiri?
Kaka Salaam.Hahahah...Hapana mkuu...Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni.....
Hahahah...Hapana mkuu...Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni.....
Kaka Salaam.
Hivi ana Kiwanda wapi? Naona bidhaa zake zinafika Marekani wakati hapa Bongo hatujui?
Mbona imeshatumwa hiyo hapo juuu au ndo umekurupuka tuu kujibu bila kupitia comments zote mkuuAtumiwe wapiiiiiii
Mbona imeshatumwa hiyo hapo juuu au ndo umekurupuka tuu kujibu bila kupitia comments zote mkuu
Hebu rudi uangalie vizuri sceenshot hyo hapo juu kim mwenyewe kasema makeup yake imetoka kwa nani na hakuna dalili zozote na lipstic ya wema hapo, ni kick tuu za kiuchwara mjini
Niko shamba huku simanjiro mkuu. Sina Access na simu. Ha ha ha!Duuh mkuu wewe bado unatumia Windows XP...Upo dunia gani asee....Hahahaha..Duh af instagram unatumia kwenye PC...Aisee
Mkuu kuwa na bidhaa na kuuza bidhaa ni vitu viwili tofauti, Manake hapa unazungumzia issue ya kumiliki alama ya biashara yenye jina lako! ambapo sasa bidhaa yako imeandikishwa na inatambulika kimataifa katika ubora, ndipo sasa unaweza kusema kuwa una bidhaa.Dah mkuu Kuwa na bidhaa sio lazma umiliki kiwanda....Kwani bidhaa kufika marekani kuna ajabu gani dunia ya leo..Hata wewe unaweza ukauza ubuyu ukafika marekani...Unaishi wapi mkuu...Na usiseme hatujui..
Mkuu kuwa na bidhaa na kuuza bidhaa ni vitu viwili tofauti, Manake hapa unazungumzia issue ya kumiliki alama ya biashara yenye jina lako! ambapo sasa bidhaa yako imeandikishwa na inatambulika kimataifa katika ubora, ndipo sasa unaweza kusema kuwa una bidhaa.
Bidhaa kama ubuyu huwezi kusema hii ni bidhaa yangu!! ubuyu si kila mtu anauza tu!!
Khaa!!...Sasa unamaanisha wewe hujui kama Wema ana lipstick zenye jina lake au unataka kunipotezea muda tu nionekane namtetea sana huyu binti........Na hilo sharti lako la kuwa ili uwe na bidhaa lazma itambulike KIMATAIFA kwa ubora sijui umelitoa kwenye kitabu gani...Na hata huo ubuyu niliozungumzia si unasajili tu na kubandika label yako....Ukawa na ndugu anaenda marekani ukampa pakti kumi akaweka kwenye mizigo yake zikafika marekani....Mbona unataka kucomplicate sana maisha mkuu
Mkuu nimecheka sana baada ya kukusoma, haya bana. Mi sijui kama wema anatengeneza Lipstic, we unayejua embu tuwekee sample yake moja tuone basi.
Thanx, Ni nzuri hii itasaidia watu wengi(Na mimi nikiwa mmojawapo) angalau kufahamu kuwa Wema ana kitu anafanya, Mtizamo wengi ulikuwa negative kidogo.
Thanx, Ni nzuri hii itasaidia watu wengi(Na mimi nikiwa mmojawapo) angalau kufahamu kuwa Wema ana kitu anafanya, Mtizamo wengi ulikuwa negative kidogo.
Na hii nembo ya Kiss ni nzuri, je kama angeweka ionekane tofauti kidogo? ( Yaani: Kiss)![]()